Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
HABARI
Wamiliki wa shule, meya, waandishi wawekwa chini ya ulinzi shuleni Lucky Vincent
By Mwandishi Wetu, Mwananchi
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Arusha. Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.
Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.
Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.
Source
http://mobile.mwananchi.co.tz/Habar...597580-3932034-format-xhtml-lkt8ww/index.html
Wamiliki wa shule, meya, waandishi wawekwa chini ya ulinzi shuleni Lucky Vincent
By Mwandishi Wetu, Mwananchi
ADVERTISEMENT
ADVERTISEMENT
Arusha. Wamiliki wa Shule Binafsi walioenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent wakiwa na waandishi wa habari wamewekwa chini ya ulinzi na polisi shuleni.
Mwandishi wetu ambaye yuko eneo la tukio hivi sasa ameeleza kuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya Arusha ambaye hajamtaja jina amewaambia kuwa wako chini ya ulinzi kwa kosa la kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria.
Mwandishi wetu ameeleza kuwa katika msafara huo pia yupo Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro, viongozi wa dini, wazazi waliofiwa na waandishi kama 10.
Source
http://mobile.mwananchi.co.tz/Habar...597580-3932034-format-xhtml-lkt8ww/index.html