indian mark 2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 398
- 301
Duh kweli wewe halichachiSema huko kwenu hivyo unasifia vya nyumbani lakini ukiacha huo weupe kwa baadhi yao hawana uzuri wowote kuanzia mimeno iliyooza,viguu njiti,wakitembea kama wanarudi nyuma,kitandani kama umelala na gogo la mnazi yaani kama wangekuwa samaki basi ungewaita pandu ile misamaki iliyooza inapakwa chumvi nyingi na kuanikwa ili iliwe kwa kulumagia tu lakini si wa kupika mchuzi,Nawasilisha.