Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,662
- 16,023
Nimefanya utafiti wangu binafsi na kote nilipopita nimebaini wakaazi weengi zaidi ya 90% wa mikoa ya kilimanjaro, arusha na manyara ni wapenzi wakubwa wa Station ya Radio one.
Mimi nilikua mpenzi enzi za kina Charles hillary , Rose chitallah , misanya bingi, abdallah majura na marehemu Julius nyaisanga.
Mimi nilikua mpenzi enzi za kina Charles hillary , Rose chitallah , misanya bingi, abdallah majura na marehemu Julius nyaisanga.