Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,436
- 25,578
Mavitu makali makali yanapatikana Arusha tuu...
Hapo ni Laki Laki Kisongo..
Hapo ni Laki Laki Kisongo..
Unamuwaza sana Lema.Sasa kama walimchagua Lema unategemea nini?
Mtu unakaa PPF Daraja mbili na Engo unafuata nini ?Njoo kwangu mimi nimepanga PPF nyuma ya Sun flag
Pale maji na usafiri havisumbui hivyo mavumbi mpaka nikipita maeneo ya
Kijenge juu, Sanawari, maeneo ya engo kuja Daraja 2 pia Sinoni pamoja na unga Ltd.
Acha matusi,njoo Atown uone MAFOGO.Dar ndo kuna wajanja hizo sehemu nyingine ni kenge tuu
Alikuja akitegemea atapakwa wese kwenye kalio, ndio kwanza akakuta raia "wanachanja" hawana habari na "kiduara" chake.Pale mwanaume wa Dar anapotua Arachuga!
Hukuwaona wale Wahindi wanaokuja pale karibu na Kiwanda cha Nondo cha TrishalaMtu unakaa PPF Daraja mbili na Engo unafuata nini ?
Kwahiyo mnaiga wazungu sio? Vipi na tabia zao za kuoana jinsia moja mmeshaiga au ndo mko mbioni?Hivi ulishaona mzungu msafi??ukiwa MTU wa pilikapilika lazma uwe rafurafu Ila mmute mida ya kutumia uone....ingawa wapo wasafi,tens wasafi haswa na haswa madem wa chuga wasafi mno.
This is our Anthem no matter what....Njooni mjibu tuhuma watu wa Arusha,kwanini mnakuwa hivyo...?
We call it old schoolThis is our Anthem no matter what.... View attachment 815130View attachment 815135
Which is the root of all testaments.We call it old school
tour guide wamejichokea tu wanaolewa na vibibi vya kixungu....Madalali wa madini pale ottu hawana hata senti tanoChugga kuna watu wako smart na wana pesa,hebu niambie matour guides unawaonaje,au madalali wa Tanzanite,wengi wao wako smart na wana drive gari za maana,suala la uchafu liko kila sehemu,
Kuna watu wana nature ya kuwa rafurafu.
Kwa hiyo usituchanganye wote,wengine tupo poa aisee!!
Mi nimkuja sana uzuri wa arusha ni mademu wazuri tuuAcha matusi,njoo Atown uone MAFOGO.
Wewe wahindi kwako ni watu wa maana sana.? Mbona ni mafukara tu kama weusi huko Bombay?Hukuwaona wale Wahindi wanaokuja pale karibu na Kiwanda cha Nondo cha Trishala
Wanaishi PPF ila wanakuja kununua Sigara kule Orolieni Uswahilini kabisa
Ni wachache tu wanaoelewa aseeWhich is the root of all testaments.