Arusha kumekucha

Kumekuchwa! Serikali yenu sikivu sana itachukua hatua
 
du kweli nch ishauzwa arusha hakuna umeme mji mzima daladala hakuna maji hakuna na mbunge wetu hayupo du kweli magamba kiboko
 

Tunaomba updates please! Ikiwezekana na picture tuwekee
 
nimewasiliana na mdogo wangu yupo huko kasema hali ni mbaya mjini, vurugu zimetawala, viford vimegoma kufanya kazi.
 
Waacheni watu wadai haki zao!ukiukwaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa demokrasia umezidi hapa Arusha
 
Wakuu mgomo wa daladala hapa Arusha ni mkubwa sana, nilitoka katikati ya mji kuelekea, njiro hakuna daaladala. nimetumia taxi na nilipotoka sakina kuingia mjini the situation is worse.
Nikasimama sehemu kuwasikiliza machalii wa jiji wanasema wameshazoea mabomu hivyo Zuberi aendelee kumdharau Mungu.
 
Itafaa zaidi mlioko huko mkituwekea picha hapa tuone kinachojiri
 
mikoa ya ukombozi ni mwanza, mbeya na arusha, dar tunaishi wehu tu
 
Wakuu mgomo wa daladala hapa Arusha ni mkubwa sana, nilitoka katikati ya mji kuelekea, njiro hakuna daaladala. nimetumia taxi na nilipotoka sakina kuingia mjini the situation is worse.<BR>Nikasimama sehemu kuwasikiliza machalii wa jiji wanasema wameshazoea mabomu hivyo Zuberi aendelee kumdharau Mungu.
 
Hali ni shwari alakini si shwari kwakuwa wtu wamekosa mahitaji yao ya msingi,ukikosa usafiri hakuna kitakachokua kinaendelea.watu wapo wamesimama vituoni hakuna hata gari moja inayobeba abiria na jua linawaka sana.

Tatizo la arusha ni huyu ocd anaitwa zuberi alishaapa kupambana na lema mpaka mwisho tangu kipindi kile cha uchaguzi,hakuna asiejua bifu lake na lema.kwa ujmla hali ni mbaya kwani watu wapo wameshikwa na taharuki kwani mapolisi wapo wanapitapita na mbwembwe zao za kutishia raia.
 
Mnatuchanganya tuu...mara wamegoma, mara hawajagoma! Halafu kituko sasa watu wanaobishana wote washabiki wa CCM na Chadema....kwani huu mgomo unahusu chama? Watu wamedhani mbunge na wanaArusha hawatendewi haki na polisi....waendesha vifodi wakaamua kugoma kudemonstrate kwa polisi, Chadema na CCM wanaingia vipi? Au Chadema wanamiliki vifodi na CCM wanamiliki polisi? Upuuzi mtupu...
 

mmmmhhh!!!!
 
Ccm wanafika mbali sna sasa itabidi tuwe tunajichukulia wanachama wao majirani zetu. Too much sufferings coz of them.
 

ACHA UONGO WEWE.MIMI NIKO ARUSHA,MAMBO YAKO MURUA,BUSINESS AS USUAL. AM CDM Dam dam,lakini acha uongo kudanganya watu.
 
Tukio hilo lietokea eneo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…