jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Chama chetu kinaangamia kwa kukosa maarifa
kwishnehi, kwisha habari yao manake watu hawataki hata kusikia ccm!!!
Chama chetu kinaangamia kwa kukosa maarifa
Inawezekana mchango wake ni indirect lakini upo,lol..angel, wewe upo ofisini tu unapigwa na kiyoyozi unasema kuwa upo kwenye mchakato?
Birigita hali ya usafiri siyo mbaya, ni hao wanafunzi waliozagaa tena ni eneo moja na ukichunguza ni kila siku mida ya asubuhi kutokana na shida ya usafiri utawakuta wamejazana kituoni. Hadi saizi hakuna tukio lisilo la kawaida la kushitusha.
jamani hii serikali gani ambayo haisomi hata arama za nyakati sasa tizama watoto washule wanakosa masomo kwa sababu ya mtu mmoja anajiita Zuberi kwa kufanya kazi ya Mkama wa CCM. Mungu wangu nakuomba utuepushe na hii Bengazi ya Tanzania
Orait, thanks.
Kwahiyo mgomo wa toyo na vifodi haujafanyika kama ilivyoripotiwa?.
orait, thanks.
Kwahiyo mgomo wa toyo na vifodi haujafanyika kama ilivyoripotiwa?.
Mi niko Arusha saa hizi hakuna daladala we uko wapi?
Mi niko Arusha saa hizi hakuna daladala we uko wapi?
naona polisi wanazunguka na magari yako wakiwa tayari kwa lolote...
​aiseeeehhhh huko naona kuna ka harufu fulani hivi
Chama chetu kinaangamia kwa kukosa maarifa
jamani hii serikali gani ambayo haisomi hata arama za nyakati sasa tizama watoto washule wanakosa masomo kwa sababu ya mtu mmoja anajiita Zuberi kwa kufanya kazi ya Mkama wa CCM. Mungu wangu nakuomba utuepushe na hii Bengazi ya Tanzania
Huyu sijui vp!hapa nilipo napiyanga kwa miguu kwenda kazini coz hamna usafiri!we uko Arusha ipi!
acha kudanganya umma. Kuna mtu kanipigia simu kutoka Arusha anasema vijana wanapiga kazi.
Mi niko Arusha saa hizi hakuna daladala we uko wapi?
Hongera vijana wa Arusha. Ameamua mwenyewe kwenda jela, mwacheni akae huko, akichoka ataomba kutoka.