mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
nasikia watu wapatao 60 wamekamatwa na Polisi
...kama majibwa yanasubiri amri ya kung'ata watu hayatumii akili kabisa..naona polisi wanazunguka na magari yako wakiwa tayari kwa lolote...
yule jamaa aliyekuwa anashangaa tu kupewa ma digrii yule....si yule wanayesema amewekewa kichwa cha nazi kwani humjui yule...jina linakuja na kutoka yupo hivi mweupe mweupe hivi anapendag kusafiri sanaaa....ehee huyo huyo ...huyu ndo chanzo cha yot hayo..we fikiria jamaa ansema kabisa eti hajui kwanini ni masikini....halafu anapenda kununuliwa nguo na waraabu yule....
Kuna mgomo wa vifodi arusha,ila kiuhalisia sio wote wanao goma kufanya kazi
isipokua tu wale wasio unga mkono mgomo huo,wakifanya kazi magari yao yana
rushiwa mawe na kuharibiwa,...kuliko kupata hasara ya kutengeneza gari
ni bora wapaki tu magari yao.
hiyo garama zote zinazotumika analipa nani? ushenzi mtupu kwa ajili ya Zuberi OCD aibu aibu aibu jamani!
Zuberi anafanyakazi ya jamuhuri kwa msukumo wa kisiasa, anaropoka ovyo ila naamini kuanzia leo mpaka tarehe 14 mwezi huu uyo OCD ataletewa memo flani mezani kwake.Zuberi anatumia ugomvi binafsi na Lema kama kisingizio cha kuleta mtafaruku Arusha. Wananchi na mkoa unaingia katika gharama kubwa likiwemo jeshi la polisi kwa sababu ya OCD ambaye kiburi na tabia zake za kihuni na ushabiki wa CCM unamfanya kugeuza kitu kidogo kuwa drama ya mji mzima. Ni kukosa busara kwa Zuberi ndiko kunako pelekea polisi kutumia extra bajeti kuzunguka mji mzima kuzima fujo ambazo hazikuwa za lazima
Wewe nadhani upo Ushagoo na Arusha hujawai kutia hata pua, Hapa mjini hakuna mawe yakuziba barabara bwana mdogo, trip ya town to njiro inaishia impala na hapa round about hakuna mawe ya kuwazuia ila wanakatisha safari kwa kuheshimu mgomo uliopo ila jioni lazima wapeleke kitoweo nyumbani.Mkuu, wenye vifodi hawajagoma kuna wahuni wanaweka mawe barabarani kuoneka kama kuna mgomo..
Watu wamekopa benki wanasomesha watoto hawezi kuingia kwenye mgomo usio kuwa na kichwa wala miguu, kisa Lema kakataa dhamana
yule jamaa aliyekuwa anashangaa tu kupewa ma digrii yule....si yule wanayesema amewekewa kichwa cha nazi kwani humjui yule...jina linakuja na kutoka yupo hivi mweupe mweupe hivi anapendag kusafiri sanaaa....ehee huyo huyo ...huyu ndo chanzo cha yot hayo..we fikiria jamaa ansema kabisa eti hajui kwanini ni masikini....halafu anapenda kununuliwa nguo na waraabu yule....
Haihitajiki hali kuwa mbaya ili askari polisi kujeruhiwa Arusha, alafu mda unavyozidi kwenda kama unabadilishabadilisha mtazamo na msimamo wako kuhusiana na jambo hili.Mimi nijuavyo hali ni mbaya lakini si kihivyo mpaka kujeruhiwa askari polisi!
Zuberi anatumia ugomvi binafsi na Lema kama kisingizio cha kuleta mtafaruku Arusha. Wananchi na mkoa unaingia katika gharama kubwa likiwemo jeshi la polisi kwa sababu ya OCD ambaye kiburi na tabia zake za kihuni na ushabiki wa CCM unamfanya kugeuza kitu kidogo kuwa drama ya mji mzima. Ni kukosa busara kwa Zuberi ndiko kunako pelekea polisi kutumia extra bajeti kuzunguka mji mzima kuzima fujo ambazo hazikuwa za lazima
Zuberi anafanyakazi ya jamuhuri kwa msukumo wa kisiasa, anaropoka ovyo ila naamini kuanzia leo mpaka tarehe 14 mwezi huu uyo OCD ataletewa memo flani mezani kwake.
Kuna ule msemo kwamba ukiona unatikanwa na mtoto mdogo ujue katumwa na baba yake, huyo OCD kapewa rungu la kufanya huo ubabe na na hao wa kumchukulia hatua hawata fanya hivyo maana ndio waliompa go ahead..