FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
MODS
Hivi mtu akidanganya wazi kama NGONGO na MZEE2011 hawatakiwi kufungiwa?
Maana daladala zimegoma hapa Arusha, boda boda zinafanya kazi chache maeneo machache, Ni shida kweli ya usafiri hapa.
Hivi mkidanganya kuwa hawajagoma mnapata faida gani?
Duh! Nyani Ngabu alisemaga, MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!
Hivi mtu akidanganya wazi kama NGONGO na MZEE2011 hawatakiwi kufungiwa?
Maana daladala zimegoma hapa Arusha, boda boda zinafanya kazi chache maeneo machache, Ni shida kweli ya usafiri hapa.
Hivi mkidanganya kuwa hawajagoma mnapata faida gani?
Duh! Nyani Ngabu alisemaga, MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!