G bznes
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 1,395
- 2,795
Kumwambia mtu ukweli wa alivyo siyo tusi mkuu, huu ni wakati wa ukweli na UwaziMatusi yann kiongoz chagia hoja
Kumwambia mtu ukweli wa alivyo siyo tusi mkuu, huu ni wakati wa ukweli na UwaziMatusi yann kiongoz chagia hoja
Hatujataja kwamba ni chama gan kasome uz upymmethibitisha vipi kuwa ni kijana wa Chadema? au katumwa na CHADEMA? au mtu yoyote akifanya uhalifu anakuwa ametumwa na CHADEMA?
Saf kiogozKumwambia mtu ukweli wa alivyo siyo tusi mkuu, huu ni wakati wa ukweli na Uwazi
Soma kichwa Cha uziHatujataja kwamba ni chama gan kasome uz upy
Ni heri kuwa na wajinga milioni kuliko kuwa na mpumbavu mmoja kama wewe kwenye nchi. Halafu ulivyojawa na ushamba na kukosa utu maisha yako yataishia kwenye huo utopolo unaokoroga hapo.Furaha yangu ni kwamba kwa hiyo akili ndogo uliyonayo ni kwamba utaweza kwenda kuweka alama ya Tiki kweny kumpa Kura Lissu. Amka Mtanzania usiendlee kuwa Mbumbumbu kwa Miaka 60 toka Uhuru.
Sasa simsubiri hiyo tarehe 28 mkafanye maamuzi,mambo ya kupigisha shoti umeme ulipuke muuwe watu inahusiana vipi?Mjinga mmoja ww.... Akili zako zilipo zikae hukohuko siyo lazima uwaambukize na wengine !
Kwa taarifa yako tuu ni kwamba Tarehe 28 waTanzania wenye Akili Timamu wote wataenda Kuchagua kiongozi atakayetupatia UHURU HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Na Si mwingine ni TUNDU A. LISSU
Huyo kijana wa Chadema asiye na jina wala picha, aliwezaje kuvifikia vyombo vya mkutano wa raisi na kutengeneza shoti?Vijana wa CHADEMA siasa zao zinakuwa kama za beberu linataka kupanda jike,matokeo yake wanaambukia kufia jela kwa upuuzi na maamuzi ya jamaa wa ubeligiji
What was the terms of payment? Yaani benki uingiziwe mil. 300 na turn over yako kwa mwezi Ni 1mil? Kudadadeki utaozea jela kwa kutaka kutakatisha fedhaKuna time nilikuwa nilipwe million 300, nijitoe mhanga kwenye mkutano wa mtu fulani hapa hapa chuga, nikasema hapana siwezi hayo makitu. Nahitaji kuishi
Mna uhakika ni wa chadema? Je kama ni kiki imetengenezwa na ccm kuichafua chadema, hii dunia kilakitu kinawezekana ndo maana wanasema usimuamini mtu yeyote hata kivuli chako piaKijana mmoja hapa Arusha anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kupiga short vyombo kwenye mkutano wa mgombea urais CCM.
Masikini kijana wawatu anaumia pekeyake waliomtuma wapobize na kampeni.
anawapa tabu ndugu zake kupoteza muda wakumtembelea gerezani kijanawao mpuuzi.
We ni ZombiMjinga mmoja ww.... Akili zako zilipo zikae hukohuko siyo lazima uwaambukize na wengine !
Kwa taarifa yako tuu ni kwamba Tarehe 28 waTanzania wenye Akili Timamu wote wataenda Kuchagua kiongozi atakayetupatia UHURU HAKI NA MAENDELEO YA WATU.
Na Si mwingine ni TUNDU A. LISSU
we ndio usome vizuri, kwenye title kaandika kijana wa ChademaHatujataja kwamba ni chama gan kasome uz upy
We ni bongo zeroFuraha yangu ni kwamba kwa hiyo akili ndogo uliyonayo ni kwamba utaweza kwenda kuweka alama ya Tiki kweny kumpa Kura Lissu. Amka Mtanzania usiendlee kuwa Mbumbumbu kwa Miaka 60 toka Uhuru.
Kwani waliopo hapo mkutanoni wamewezaje kufika na kuanza kumsiliza raisHuyo kijana wa Chadema asiye na jina wala picha, aliwezaje kuvifikia vyombo vya mkutano wa raisi na kutengeneza shoti?