Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,328
Labda Mungu msagaji na sio nayemjua mimi.Sasa alitaka kutengeneza shot ili nini kitokee? Yaani CHADEMA, ACT na hao waumini wao wangeshika dola hii nchi ingegeuka uwanja wa vita. Sijui wanakuaga na akili gani hawa watu. Kuna wengine wanajinasibu hapa jf kwamba tayari wameandaa vidumu vya petrol. Ila ndio hivyo tena Mungu kutuletea mkombozi mzalendo John Pombe Magufuli
Mungu tunusuru watanzania na vyama vya wasaliti, wahujumu na vibaraka. Mungu ibariki Tanzania
Cc YEHODAYA