Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Serengeti haipo Arusha,na mleta mada hoja yake kuu anauzungumzia mkoa wa Arusha,sasa suala la kuzungumzia vitu vilivyo karibu mkoa wako na kuvifanya ndio advantage ya mkoa wako hiyo ni irrelevant na hoja yenyewe na yeye mwenyewe mwanzo kabisa amesema hana lengo la kuulinganisha mkoa wa Arusha na mkoa mwingine,so alichopaswa kuzungumzia yeye ni mkoa wa Arusha tu,kama kuwa karibu na Serengeti basi mwanza wako karibu zaidi kuliko Arusha,yeye alipaswa kuzungumzia ni vile vilivyomo Arusha na uzuri wa Arusha tu na maeneo yake kama vile karatu,kwa mrombo,oljoro ,ikidinga, maji ya chai,usa river,ngulelo,ngaramtoni.kisongo,monduli,muriet,majengo,mbauda ,njiro,moshono,kijenge,tengeru,na kwingineko
Na Matejoo hawapaongeleiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We nae usitake kutudhihirshiaa ushamba wako hapo, kweny huo Uzi kuna mahali kasema anaringishia?au anajarib kutoa myths ambao baadh ya watu husema juu ya jiji la Arusha,,,kwahy kaprove wrong Kwa matahira kama wewe,,,namashakaa na elimu yako
 
jiji la arusha
1a303f12b02280eaa0551230785c3bf6.jpg
 
Huo ni ushamba tu, hamna lolote ninyi vijana wa arusha zaidi ya ushamba, ubaguzi na kujiona ninyi ni bora kuliko wengine.
Hivi kila mkoa ukianza huo upumbavu wenu itakuaje hapa TZ.
Mkoa wenyewe wa kawaida halafu mnajipamba kama mnautafutia mume mkoa wa arusha.
Tunachopinga hapo kwenye hizi mada kuna chembe za ubaguzi, ukanda na ukabila.
Badilikeni ninyi msiwe kama mmedumaa akili huko arusha.
Ni jambo zuri kuzungumzia Tanzania kama nchi ila sio kama huo ushamba wa kuzungumzia mkoa mmoja kwa hoja zisizo na maana yeyote kwa watanzania.
Mmeshamaliza kutengana wenyewe kwa wenyewe huko arusha kati ya watu wa karatu, monduli, loliondo, longido n. k mnataka kuleta huo ubaguzi nchi nzima, hatuwezi kuwavumilia.
Tutaendelea kuzivuruga hizi mada zisilete maana yeyote.
Badilikeni ninyi vijana wa arusha.
Tanzania kwanza.
Punga sana wewe bado upo na uccm wako wa ubaguzi na udikteta wa kishamba.
 
Back
Top Bottom