Arusha ni pesa tu ndio muhimu, huwa wananishangaa nikienda dukani nikimaliza kununua nasema ahsante, unaonekana muungwana kuliko, karibu kwa huku sahau hata huende hotel kubwa kwanza hizo kubwa nyingi ni self service hata salamu ya muhudumu hutoipata labda wewe uamue kuweka ukaribu nae, hata ile sijui punguzo dukani Arusha hii wewr mteja ndio ujishushe uonekana kweli hela huna ndio bei ishuke sio muuzaji hili jiji hili halina maana kabisa, endelea kukaa zaidi utaona mengi sana huo utangulizi tu haaaa haaa