real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Chumba cha ma VIP kile, kule walikuwa wakikaa viongozi wanaojuana na viongozi asiee...mimi mtu wa msuli bedi sana, class nilikuwa siendi, baridi sikiweza aiseeHa haa wewe ndiye ulikuwa unashinda mtegoni? Mimi nilikuwa najichimbia chumba cha pale mtegoni (dereva wa Nissan ya shule aliweka saloon yake mle