DuhUnaua mwenzio kama wewe hautakufa?
Hongera Mbowe na Chadema na vyama vyote vya upinzani CCM walitaka tuchinjane kama ivi mmetuepusha kwa mengi.
Mbowe anaogopeka na serekali bwana acha kabisa.Unaua mwenzio kama wewe hautakufa?
Hongera Mbowe na Chadema na vyama vyote vya upinzani CCM walitaka tuchinjane kama ivi mmetuepusha kwa mengi.
Mawazo mufilisi hayavijana wadogo mnatafuta umaarufu kupitia siasa kama vile hamjui kua siasa ni.mchezo mchafu! hivi hakuna issue nyingine za kufanya??
Yani inasikitisha sana walai, unamchinja mtu kisa uchaguzi...km una ulazima wa kushinda iba kura basi
uyu mzee ametugawa kwakwel nchi yetu haikuwa na ubaguzi wa kivyama hadi kufikia kuuana, halafu kwann akifa mtu wa chama pinzani polisi huwa hawaonyeshi kujali sanaUnaua mwenzio kama wewe hautakufa?
Hongera Mbowe na Chadema na vyama vyote vya upinzani CCM walitaka tuchinjane kama ivi mmetuepusha kwa mengi.
Mmmhh, toka lini?
Tunapendana uku tunauana?Poleni sana kwa wafiwa
Jeshi la polisi lichunguze hili tukio
Watanzania tunapendana
Umezingua chief japo kikatiba uko sahihivijana wadogo mnatafuta umaarufu kupitia siasa kama vile hamjui kua siasa ni.mchezo mchafu! hivi hakuna issue nyingine za kufanya??
Mkuu tukiwa ndugu kwenye siasa pia nitaamini TUNAPENDANAMkuu nje ya Siasa sisi ni Ndugu
Mkuu nje ya Siasa sisi ni Ndugu
Pretty and plain, aisee sikupendi wala sipendi nzi wa kijani kwa namna yoyote ile, msituigiziePoleni sana kwa wafiwa
Jeshi la polisi lichunguze hili tukio
Watanzania tunapendana