Arumeru: Wandishi wa habari wapigwa mawe na mizimu na kutimka mbio. Mawe hayajulikani yanatoka wapi. Yanamwagika kama mvua

Wakati wa Lyatonga Mrema Kesi za dayosisi waulize ilikuaje ilibidi aende kuwaomba baada ya kutumia silaha kukwama
Sioni wakikuelewa
Achana na Mmeru akikuangalia tuu unaweza kufa jicho tuu na huwa wana macho mabaya kabisa
 
Waafrica sisi niwajinga sana, Uchawi ni Technology iliyo mbele ya wakati tukiitumia vizuri itatunufaisha.

Mfano hii technology ya mawe kurushwa na watu wasiojulikana, juju, kutupiwa majini tunaweza kuwauzia Ukraine wapambane na urusi.

Wakati Urusi wanaangaika kuingilia mawasiliano ya Ukraine, wao Ukraine wanatumia tu Ramli wanaona mipango yote ya Urusi alafu wanatuma juju wanajeshi wote wanakuwa vichaa , Au wanatumiwa mawe yasiyoonekana
Hatuwezi kuuza tecnology kwa nchi inayoshindwa. Huko tutafanya soko life. Tuwausie washindi warusi ili tuje tuseme "isingekuwa sisi kuwauzia tecnology mpya wasingeshinda. Hiyo itasababisha hela yetu kupanda thamani mataifa ya magharibi yatapishana kuja kununua tecnology ili wakapambane na urusi. Watatushawishi tuache kuwauzia warusi huku wakitupa mikopo isiyo na riba. Watajipendekeza sana juu yetu
 
Shida ni viungo vyake sasa vya kuukamilsha uchawi ndio havikubaliki. Kwa mfano ili ungo wa kichawi upae yanahitajika mafuta ya binaadamu mtoto mchanga. Gear lever ni uchi wa kiume, honi matiti ya binadamu etc etc. Vipi mpaka hapo tuendelee na tekinolojia ya kichawi?
Tunatumia viungo vya maiti kutoka mochwari tu
 
Back
Top Bottom