Arsenal (The Gunners) | Special Thread

False hopers mpo katika kilele cha furaha ya FALSE HOPE . Mnatamba wenyewe tu humu tutawaeleza nini wakati mnaongoza ligi .

Lakini muda ndo umeanza kufika kuelewa ni kwanini mnaitwa False hopers.
10 games to go !!!!
Nilimiss sana jukwaa hili la vituko na kila aina ya hopes hatimaye nimerudi lakini sina cha kuongea maana mpo katika peak of false hopes nitaeleza nini mnielewe , siku zinavyokwenda tutapata cha kuwaeleza .
Broo umekuja muda muwafaka kabisa, misiba ndio inaanza leo, sisi kama majirani tayari tumeshaandaa mikeka kwa ajili ya kuweka matanga humu
 
Gordon ana ubaya gani? wachezaji wangapi pale Arsenal wamemzidi goals? Sijawahi kuona ubaya wa gordon so far.
Ndo maana nikasema kwa sasa sina cha kuongea nitakueleza nini false hoper muda huu upo katika kilele cha false hope .
Hongera kwa kuchukua EPL NA UEFA 😆. Magpies tupo mtaa wa 10 without any hope , ila ni bora zaidi kutokuwa na hope kuliko kuwa na false hopes
Hivi yule jamaa yako anacheza namba ya nani pale Arsenal...for once hebu kuwa na aibu aisee...ana offer nn uwanjani...mlitufunga goli la dhuruma kilichokuja kuwakuta pale Emirates kinaeleweka....tangu mwanzo wa msimu nilikuambiq nyny ni watoto wadogo sana ukawa unakaza shingo hmu ndani....nnachosikitika tu hatukuwapiga kono la nyani...yaani hapo tu ndo tulipobugi
 
1690075553112.jpg
 
Hivi yule jamaa yako anacheza namba ya nani pale Arsenal...for once hebu kuwa na aibu aisee...ana offer nn uwanjani...mlitufunga goli la dhuruma kilichokuja kuwakuta pale Emirates kinaeleweka....tangu mwanzo wa msimu nilikuambiq nyny ni watoto wadogo sana ukawa unakaza shingo hmu ndani....nnachosikitika tu hatukuwapiga kono la nyani...yaani hapo tu ndo tulipobugi
Oya vp umesikia huko mudryk ametupia goli la kuchukulia mkopo bank, toa maoni yako?
 
Hivi yule jamaa yako anacheza namba ya nani pale Arsenal...for once hebu kuwa na aibu aisee...ana offer nn uwanjani...mlitufunga goli la dhuruma kilichokuja kuwakuta pale Emirates kinaeleweka....tangu mwanzo wa msimu nilikuambiq nyny ni watoto wadogo sana ukawa unakaza shingo hmu ndani....nnachosikitika tu hatukuwapiga kono la nyani...yaani hapo tu ndo tulipobugi
Tatizo huangalii gemu yoyote ya Newcastle, Sisi tumekubali for this season tayari tumechoma ila tupo under process tutafika tu nchi ya ahadi.
Position anayocheza gordon pale Newcastle iangalie then useme martinelli/ trossard kamzidi nini assist / goals ? pamoja na team kuwa mbovu.
Najua kwasasa sina nguvu za kusema chochote maana upo katika maximum peak of false hopes, lazima niwe mpole tu kwa muda. Nitasema nini na unaongoza ligi kama season iliyopita tofauti tu last ulikua una points 8 saivi ni difference ya goals😆
 
Tatizo huangalii gemu yoyote ya Newcastle, Sisi tumekubali for this season tayari tumechoma ila tupo under process tutafika tu nchi ya ahadi.
Position anayocheza gordon pale Newcastle iangalie then useme martinelli/ trossard kamzidi nini assist / goals ? pamoja na team kuwa mbovu.
Najua kwasasa sina nguvu za kusema chochote maana upo katika maximum peak of false hopes, lazima niwe mpole tu kwa muda. Nitasema nini na unaongoza ligi kama season iliyopita tofauti tu last ulikua una points 8 saivi ni difference ya goals😆
Hivi kabisa unakaa chini unaanza kumfananisha Gordon na Martinelli na Trossard🤣🤣...kwli maajabu hayaishi hapa duniani...Gordon hyu hyu tunayemuona akikimbiakimbia kule mbele
 
Tatizo huangalii gemu yoyote ya Newcastle, Sisi tumekubali for this season tayari tumechoma ila tupo under process tutafika tu nchi ya ahadi.
Position anayocheza gordon pale Newcastle iangalie then useme martinelli/ trossard kamzidi nini assist / goals ? pamoja na team kuwa mbovu.
Najua kwasasa sina nguvu za kusema chochote maana upo katika maximum peak of false hopes, lazima niwe mpole tu kwa muda. Nitasema nini na unaongoza ligi kama season iliyopita tofauti tu last ulikua una points 8 saivi ni difference ya goals😆
Hyo timu hata ikae Miaka 5 mlicho achieve mwaka jana ku qualify UEFA ndo mwanzo na mwsho....hamtakaa mpate hyo nafasi tena mpk miaka 20 ipite...yaani in short mpk ww uwe Babu ndo hao jamaa utawana UEFA tena...pale hamna timu Bali ni wafanya vurugu...tofauti ya Nyukesto na Chelkenge ni ndogo sana ndo maana hata walivyokutana hakikueleweka kinachezwa nn
 
Back
Top Bottom