Arsenal (The Gunners) | Special Thread

⬅️ Guendouzi
⬅️ Torreira
⬅️ Mavropanos
⬅️ Trusty (loan)
⬅️ Leno
⬅️ Tavares (loan)
⬅️ Marí
⬅️ Balogun (loan)
⬅️ Patino (loan)
⬅️ Ballard
⬅️ Hutchinson
⬅️ Swanson
⬅️ Okonkwo (loan)
⬅️ Rekik (loan)
⬅️ Biereth (loan)
⬅️ Flores (loan)

Notable outgoings this summer at Arsenal.💰
 
Lacazette also left for free. Expecting Héctor Bellerín and Rúnar Alex Rúnarsson to almost certainly leave on top of this. Ainsley Maitland-Niles and Reiss Nelson’s future are still to be sorted as well. #afc
 
#Arsenal non home grown players once Mari & Rúnarsson leave.

Turner
Tomiyasu
Gabriel
Cedric
KT
Zinchenko
Elneny
Sam I
Partey
Xhaka
Odegaard
Jesus
Vieira
Pepe

14

PL limit is 17.
Club can fill 3 remaining spaces with signings or it’ll be wasted on HG players.

#afc
 
KWENYE EPISODE INAYOFATA YA ALL OR NOTHING


Mikel Arteta alitumia tweet ya Ivan Toney kama motisha wakati wa kukabiliana na Brentford:

“Unajua alifanya nini? Je! unaijua tweet hii? Kwa hivyo leo wanacheza nyumbani kwetu(Emirates) na kuna timu moja tu kwenye uwanja huo wa kucheza na ni sisi.

BRENTFORD ALIKULA KIPIGO 2-0


IMG_20220810_173314.jpg
 
Huu mchezo Arsenal wanaomchezea Leicester juu ya Tielemans, watajua hawajui.

Arsenal wanazidi ku buy time tu!

Arsenal wameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa hawana haraka na Tielemans, wako tayari kumsubiri mpaka mwakani 2023 mkataba wake utakapoisha.

Hawatoamini, watakuja kumtoa siku ya deadline kwa ada ya chini ya £20mil..

Tuendelee kuiskilizia hii show mpaka mwisho.
 
Huu mchezo Arsenal wanaomchezea Leicester juu ya Tielemans, watajua hawajui.

Arsenal wanazidi ku buy time tu!

Arsenal wameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa hawana haraka na Tielemans, wako tayari kumsubiri mpaka mwakani 2023 mkataba wake utakapoisha.

Hawatoamini, watakuja kumtoa siku ya deadline kwa ada ya chini ya £20mil..

Tuendelee kuiskilizia hii show mpaka mwisho.
Hii ishakua kamari, inaweza ikala upande wetu pia

Aaanh, lakini nimekumbuka
Kuna huyu Vieira T-bag, muhuni anajua kuyaona mashimo kama odegard

Kuna siku nilikua namuangalia mara kumi kumi
Nikagundua yule mtoto hafai, ni killer.
Bonge moja la creativity midfielder

 
Hii ishakua kamari, inaweza ikala upande wetu pia

Aaanh, lakini nimekumbuka
Kuna huyu Vieira T-bag, muhuni anajua kuyaona mashimo kama odegard

Kuna siku nilikua namuangalia mara kumi kumi
Nikagundua yule mtoto hafai, ni killer.
Bonge moja la creativity midfielder

huyu mbona hakucheza game ya juzi shida nn
 
Huu mchezo Arsenal wanaomchezea Leicester juu ya Tielemans, watajua hawajui.

Arsenal wanazidi ku buy time tu!

Arsenal wameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa hawana haraka na Tielemans, wako tayari kumsubiri mpaka mwakani 2023 mkataba wake utakapoisha.

Hawatoamini, watakuja kumtoa siku ya deadline kwa ada ya chini ya £20mil..

Tuendelee kuiskilizia hii show mpaka mwisho.
Anaweza kubebwa pia na team nyngne cyo kwamba sisi tu ndo tunamtaka
 
Back
Top Bottom