Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 32,077
- 64,238
Ukiwa unacheza FIFA career mode kikifika kipindi cha usajili mfano unatumia timu ya daraja la tatu unataka upande nayo had juu so unaenda kumfuata mfano Hazard au Bale kwakua umri umeenda so unakubaliana na Madrid wanakupa go ahead kunegotiate na mchezaji ukifika kwa mchezaji mchezaji anakuambia 'I like it here' ukifosi anakujibu 'I have my ambitions elsewhere'Kwamba mchezaji hana say yoyote?? Kwamba Ipswich town ikimtaka Dembele wakalipa £2M basi anakwenda to Ipswich town??
Ndicho watakachojibiwa Ipswich