Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,103
Arteta mitano tena
Still to be baffled and flabbergasted by what is yet to come.Still baffled with what I see
Na Mourinho kashasema anataka points tatu game ijayo.Tunakumbushana tu mechi inayofuata ni dhidi ya tottenham hotspurs. Kama nawaona arsenal nafasi ya 19.
Nadhani Pochetino anafundisha uchezaji unaoendana na philosophy ya Arsenal. Ila pia Arteta apewe muda, kwenye kazi kuna ups and downs.Ushauri, Pochettinho na Alegri wanawalia timing tu kuchukua hiyo fursa sababu ni makocha wazuri kimbinu na kiushindani japo sidhani kama wataweza endana na filosofi ya Arsenal kimchezo.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Creativity is missing big time. But tunae ceballos sasa sijui tatizo niniCreativity is missing from Arsenal, uwezo wa arteta umefika mwisho
Na matusi juu. Eti mara muhindi, mara hajui kingereza, eti anawachanganya wachezaji kuhusu "come" na "calm" ujinga mtupu.November tulimtimia Emery akiwa nafasi ya 8. November hii hii tunasubiri nini kumtimua Arteta aliye nafasi ya 14?
Mkuu, mimi nadhani hekima huja na umri pia.Kiukweli haya majukwaa yetu ya michezo yanaharibiwa sana na baadhi ya watu wasiokuwa na hekima na ndiyomaana hata wakati mwingine mtu huonekani kabisa.
Dully Jr, Will, King Ngwaba mnaongeaje uozo kwenye nyuzi za timu zingine bila hekima kama akina Don Clericuzio, Chief Mkwawa, Relief Mirzska, Lembu kwa hoja murwa badala ya maneno yasiyo na staha?
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Pole sana kaka, labda sababu Arteta ni Legendary players waliowahi kuichezea Arsenal ndiyomaana hatimuliwi, lakini pia Bosi wenu asiwe bahili sana kama Ed Wood Ward wa Man U anayeangalia sana faida zake binafsi kuliko maslahi ya timu kwa mashabiki.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Mpaka Krisimasi Arsenal itakuwa Relegation ZoneMechi ijayo na spurs hamtakuwa midtable team tena Bali ni relegator kabisa
Mkuu, siku chache zilizopita niliongelea hoja ya kumkingia kifua kroenke kuhusiana na shutma za ubahili. Asitupiwe paka mweusi bureeee.Pole sana kaka, labda sababu Arteta ni Legendary players waliowahi kuichezea Arsenal ndiyomaana hatimuliwi, lakini pia Bosi wenu asiwe bahili sana kama Ed Wood Ward wa Man U anayeangalia sana faida zake binafsi kuliko maslahi ya timu kwa mashabiki.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
November 29, 2019: Arsenal sack Unai Emery with the club in 8th place.
November 29,2020: Arsenal lose to Wolverhampton and are currently in 14th place.
The very same time which was never afforded to Unai???Nadhani Pochetino anafundisha uchezaji unaoendana na philosophy ya Arsenal. Ila pia Arteta apewe muda, kwenye kazi kuna ups and downs.
On 3rd December we will be welcoming our fans back to the Emirates. Arsenal wawe waangalifu mabango yasije yakaanzia hapoThis November is different
It is the aftermath of world wide pandemic
So Arsenal affected greatly...
We gonna give him time