Wameidhalilisha EPLArsenal wanatia huruma kwakweli.. Hatujui hata tuwasaidie wapi..
Hama timu. Wenger haondoki leo wala kesho..
You are not the owner.His time is up. No more contract extension for this loser.
Nimeamini unakijua kikosi chako pia wahenga husema roho mganga kama uliziona vile kifupi wachezaji waliokamilika wenye kariba ya kucheza arsenal hawafiki wa tano na kingine wafia timu hakuna sisi kipindi kile babu alitulazimisha fletcher mpaka tukakubali baadae kuwa ni mtu wa kazi sasa litawagharimu sana hilo so far pole ndugu yangu ila maumivu si makubwa kwani ulikiona kichapo hiki na ukawa umejiandaa kisaikolojia.Mkuu @Guada Amboni utabiri wangu wa kipigo cha mbwa mwizi umekuwa kweli.
You are not the owner.
HamsaNa leo tena?
Hawa watani zetu tumekuja kuwafariji si unajua hakuna msiba usiokuwa na waombolezaji.Mkuu upo huku? Hahaaa! Naona jamaa zako wamekula za chembe!
Mkeka wakeHivi Sanchez alikuwa anacheka nini?
Hivi Sanchez alikuwa anacheka nini?