Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Security guard anavyotufatafata utadhani sisi ndo tuko kwny nafasi Yao halafu wao wako kwny nafasi yetu....kumbe ni tofauti kabisa![]()


Sio hivyo Mkuu, Masingeli ni mshkaji wangu sana, nataka nimpe tu pongezi za kumpiga ChelKenge kono la nyani


Mwamba tumemmisi sana aiseee, hatutendei haki kabisa kwa kulitelekeza jukwaa kwa kipindi chote hiki, kama vipi angekuja tu hata na zile busara zake za gwiji la Highbury




