🤣 Ila hii mechi mkitufunga halafu mkakosa ubingwa mtanikera sana. Tukishinda tutakuwa tumeweka heshima.
Security guard anavyotufatafata utadhani sisi ndo tuko kwny nafasi Yao halafu wao wako kwny nafasi yetu....kumbe ni tofauti kabisa![]()


Sio hivyo Mkuu, Masingeli ni mshkaji wangu sana, nataka nimpe tu pongezi za kumpiga ChelKenge kono la nyani





Partey na Raya tu ndo hawajafunga wala kutoa assistMagoli na maassist yamezagaa uwanja/kikosi kizima. Hapo bado benchi wako akina Jorginho, akina Jesus....
Halafu mtu anakuja kuuliza eti Saka na Gordon, mara sijui Havertz na Jackson, eti Palmer....
Sijui nani aliwaambia hizo ni shida zetu.
View attachment 2977572
Partey amecheza mechi sijui nne tu.Partey na Raya tu ndo hawajafunga wala kutoa assist
yaani wakijifanya wanawabana wakina saka,trosard,Magoli na maassist yamezagaa uwanja/kikosi kizima. Hapo bado benchi wako akina Jorginho, akina Jesus....
Halafu mtu anakuja kuuliza eti Saka na Gordon, mara sijui Havertz na Jackson, eti Palmer....
Sijui nani aliwaambia hizo ni shida zetu.
View attachment 2977572
hao nao wakaze wabaki hapohapo top sixJirani..mechi itakayoamua kama tuna nafasi ya ubingwa ni Tottenham vs City.. wale wadogo zetu wakikaza basi ndoo tunabeba...ila wakizingua ndo itakuwa basi🤠🤠
Nimeshaanza maandalizi ya kufanya party iwapo timu yetu ya Arsenal itachukua Ubingwa Mwaka huuHahahahahaa kabisa
Mkuu jiandae kuja kwenye party ya bure nitakayoiandaa Mwezi May, 2024 Arsenal tukichukua UbingwaUSHAURI WA BURE KWA SHABIKI WA ARSENAL KUHUSU MECHI ZILIZOBAKI.
1. Kusitisha kuangalia mechi zilizobaki za CITY, atashinda zote
2. Kukusanya dawa zote ndani ya nyumba na kwenda kuzitupa mbali au kuzichoma moto
3. Kukusanya kamba zote, mtandio, kanga na mkanda ndani ya nyumba na kwenda kuvichoma moto.
4. Ondoa vitu venye ncha kali kama kisu na bisisi nyumbani kwako na kwenda kuvitupa mbali.
5. Mwisho usipite kwenye madaraja marefu au karibu na visima virefu.
MWISHO WA MSIMU UTANISHUKURU
kaMkuu jiandae kuja kwenye party ya bure nitakayoiandaa Mwezi May, 2024 Arsenal tukichukua Ubingwa
Karibu sana Mkuu 🤗
Timber could play on saturdayMiaka ya mbele wapinzani watapata tabu sana....tuna mijitu ya kazi sasahivi tumepelea watu kama wanne hivi tuwe na kikosi cha kufukuzisha makocha kazi...wailete hiyo kitu Ili tujue ypi anashinda kimpira na yupi anatumia mauzauza
Too soon aisee.Timber could play on saturday
Ila huu wimbo wa J timberlake yapata mwezi sasa.Timber could play on saturday
USHAURI WA BURE KWA SHABIKI WA ARSENAL KUHUSU MECHI ZILIZOBAKI.
1. Kusitisha kuangalia mechi zilizobaki za CITY, atashinda zote
2. Kukusanya dawa zote ndani ya nyumba na kwenda kuzitupa mbali au kuzichoma moto
3. Kukusanya kamba zote, mtandio, kanga na mkanda ndani ya nyumba na kwenda kuvichoma moto.
4. Ondoa vitu venye ncha kali kama kisu na bisisi nyumbani kwako na kwenda kuvitupa mbali.
5. Mwisho usipite kwenye madaraja marefu au karibu na visima virefu.
MWISHO WA MSIMU UTANISHUKURU






Arsenal na liver nani kabakiza mechi ngumu?Mimi shabiki lia lia wa bounermouth nasemaje. Jamal musiala mmoja ni sawa na Martin ödegaard 250
`sawa mkuu. unazungumzia bayan au bounermouthMimi shabiki lia lia wa bounermouth nasemaje. Jamal musiala mmoja ni sawa na Martin ödegaard 250
Mimi msimu nishamaliza mechi zilizobakia hazinihusuAr
Arsenal na liver nani kabakiza mechi ngumu?
Punguza kunywa mbege`sawa mkuu. unazungumzia bayan au bounermouth
odegaar mmoja ni sawa na salah 300