Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,079
Partey na Raya tu ndo hawajafunga wala kutoa assistMagoli na maassist yamezagaa uwanja/kikosi kizima. Hapo bado benchi wako akina Jorginho, akina Jesus....
Halafu mtu anakuja kuuliza eti Saka na Gordon, mara sijui Havertz na Jackson, eti Palmer....
Sijui nani aliwaambia hizo ni shida zetu.
View attachment 2977572