Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha tu aisee,
Imeniuma kupita maelezo,
Huyu kocha wetu nadhani anatumia cheti cha mtu, nimesikia kama aliitwaga Hassan Wenge
Hahahahhh [HASHTAG]#Bashite[/HASHTAG]

5f7f670217143812f8ef63f27c3183c6.jpg
 
Kufungwa ni kitu cha kawaida kwenye huu mchezo wenye matokeo matatu.. ila ninachojiuliza kwanini nyie ndugu zetu mkifungwa mnafungwa nyingi sana?.. btw poleni sana
 
Back
Top Bottom