intrinsic-motivation
Member
- Jan 1, 2016
- 68
- 55
Refa chondechonde usiongeze dakika..... Twafaaaa
Na leo tena?Aisee ni disaster

Mkuu upo huku? Hahaaa! Naona jamaa zako wamekula za chembe!Wenger akiwa ameshikwa mkono baada ya kipigo
View attachment 477905






Mkuu BAK na mashabiki wote poleni sana jamani sio kwa kipigo hiki
Hama timu. Wenger haondoki leo wala kesho..Ni aibu Mkuu tena si aibu ndogo. Timu iliyomaliza msimu uliopita katika nafasi ya pili kwenye EPL haistahili kabisa kuadhiriwa kiasi hiki katika uwanja wowote ule uwe wa ugenini au wa nyumbani.