Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
hatujui hayo wala hatutaki yasikia kwa sasa...
tofauti hiyo ni sawa naile ya simba (TZ) wakicheza mvua ikanyesha basi lazma washinde
ila imani hiyo ni nzuri endeleeni jifariji...
Anzisha basi thread ya Man U ili upate kuwafagilia Man U huku na sio hapa (its free!) na utasaidia pia kuepusha matusi yasiyo ya lazima- mikono inaiwasha kweli kukutupia kibomu.