MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
Mnaota ndoto... Wapate au nyie ndio mpate draw?
I told you so..pole sana
Mnaota ndoto... Wapate au nyie ndio mpate draw?
Kesho nipo upande wa man U!!
jamani tusimsahau song jamaa mi nadhani ni 2nd engine ya arsenal huwa anatoa zile crusal crosses ... katika right moment to a right person... song anafuture nzuri mbele yake ..
Wembe ule ule tunaenda kuutumia kwa Newcastle.
Szczeny katutoa sana leo.
Kama ni kombe kwenda Man U au man city tu utapendelea nani alibebe. Mi nadhani watoe draw tu
Kwenye kombe hapo paache!!Kama ni kombe kwenda Man U au man city tu utapendelea nani alibebe. Mi nadhani watoe draw tu
Kama unakumbuka kuna ile alimpa Henry vs Leeds, then RVP vs Everton, alafu the recent ni ile ya Walcott vs Spurs, ukijumlisha na leo dah.. Song ni noma. Tatizo wachambuzi wamekariri tu watu wao!
Shukrani ziende kwa Van Persie pia hongeren gunners wenzangu sababu ndiyo shukran pekee yakumpa Mikel Arteta
Akhsante RVP kwa kutulisha maini(livers) pale anfield!
Mi naombea Chelsea nao wachapwe leo......
Good job watani....! leo mtakesha kwa shangwe🙂))
Mkuu endelea na dua yako , West Brom 1 Chelsea 0 bado dakika mbili tatu.