Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Tatizo letu sisi ni Kocha.............
Siku AW akiondoka Arsenal ndiyo siku ambayo amafanikio yataanza Arsenal.......Zaidi ya hapo itakuwa ni kila kupigania nafasi ya kushiriki CL basi na si kuchukua ubingwa(iwe EPL,FA ama Carling).......
Hatuna timu wala kocha mwenye mawazo ya kuchukua ubingwa....
...i doubt bro, i doubt that....mechi ya jana wachezaji kama wamemwagiwa maji....wote!...
Vermaelen, Rosicky, Ramsey, Sagna, Gibbs, Arteta, were all below par...
...wings zilikufa kibudu,.....tactically, milan were so far better than us....lets pray Per Metersacker
acheze 2nd round utaona kama Ibrahimovic ataweza feed ile mipira kwa Robinho...
dogo Boateng mkali, ila naye defence ikikaa vizuri hatafurukuta sana kwa Song...
jana nilisema na mapema game ile hatumhitaji TH12, ila naona tayari wenger akili yake ipo jumamosi
kwa sunderland....