Dogo naona kaumia tayari, mambo ya hamstring.
Vijana wanaingia uwanjani na Wojciech Szcesny kakosa namba ..... ...... Fabianski yupo golini .... .. ngoja tuone huu uwanja wa matope itakuwaje leo ... ..... ..
Arteta alipokua Everton hizi free Kick alikua anafunga sana tu.... Ila sina kumbukumbu za kuwa kama keshawahi funga tangu alipojiunga nasi... Utadhani kabadili miguu bana....
Umemuona huyo anaeingia???????????? Dah!!! Kweli hii team haina wachezaji.............
Goli la Djourou hilo .... ...... Sunderland 1 up..... .. kama alivyofanya Italy faulo za kijinga .... ..
Sunderland wana mzuka, na kelele za uwanjani ndio kabisa beki yetu inachanganyikiwa. Hapa tunaitaji kwenda kutuliza akili kwenye locker room. Hili tujenge confidence tena