Na hao mafala wanaozomea uwanjani baada kuipa timu moyo kwa kushangilia toka mwanzo wanasubiri matatizo ndio wazomee. Wachezaji wetu mpaka wanajiona hawako nyumbani.
kurudi inawezekena ila kwa juhudi binafsi za wachezaji uwanjani.wanatakiwa waji2me kupita kiac huku hawafanyi ujinga kwenye goli lao ambacho ki2 kigumu sana kwa wachezaji wa Arsenal wa sasa...let gives hope yatarudi