Toka lini? Mbona hamjatutangazia kwamba kila mtu kivyake sasa hivi?!! Hizo ni dalili za meli inayozama, kila mtu anaruka kivyake kama yule captain wa Costa Concordia....hahahaha!
Kichapo cha leo ni cha kujitakia jirani....Wenger kamtoa Chamberlain ambaye ndiye alikuwa anawechezesha mbele anamuingiza galasa ASHA BOKO na Mungu asivyomficha mnafiki Arshavin katufungisha kwa kumpasia Welbeck.....