Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

....Leo inabidi tufanye karamu ya magoli, at least goli tano au sita 🙂🙂 labda yatatusaidia huko mbele ya safari. Nimesikia kuna uwezekano wa Thierry kusaini mkataba wa miezi miwili, hili likiwa kweli itakuwa bomba sana.


Respect is very important in football. Just because they are Wolves does not mean kutakuwa na karamu ya magoli. Waulize Man U na jirani zao sababu iliyowafanya wawe wanacheza Alhamisi usiku badala ja Jumanne na Jumatano!
 
Leo ukisikia mbuzi kala mbwa ndo hii......Hatuna hatujawa na bahati ya kufunga leo...
 
Back
Top Bottom