Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu huu mechi za Emirates hatujafanya vizuri kabisa......Sijui tatizo ni nini hasa
 
Kati tumepwaya sana,,,,,,, Song is not on Song as usual... pase zake ni famba sana.... Accuracy hakuna kabisaaa........Huyu Arteta nae anaremba saaana.......
 
Kati tumepwaya sana,,,,,,, Song is not on Song as usual... pase zake ni famba sana.... Accuracy hakuna kabisaaa........Huyu Arteta nae anaremba saaana.......
Wenger kafanya makosa kumwanzisha Benayoun na Rosisky. Naona kama wote wapo kati kati wanakanagana. Djorou anakosa msaidiz huku pemben, inamlazimu kila saa aingie na mpira kati. Chamberlain game ya leo itamfaa.
 
Wenger kafanya makosa kumwanzisha Benayoun na Rosisky. Naona kama wote wapo kati kati wanakanagana. Djorou anakosa msaidiz huku pemben, inamlazimu kila saa aingie na mpira kati. Chamberlain game ya leo itamfaa.

I miss Walcot na Ramsey. Ile kasi ya kiingereza ingewaacha hoi. Lets hope Wenger opts for Chamberlain, we need him for revival!
 
I miss Walcot na Ramsey. Ile kasi ya kiingereza ingewaacha hoi. Lets hope Wenger opts for Chamberlain, we need him for revival!
Tusubiri tuone huyu babu atafanya nini. Naona kipindi cha pili kimeanza bila mabadiliko yoyote
 
Kati tumepwaya sana,,,,,,, Song is not on Song as usual... pase zake ni famba sana.... Accuracy hakuna kabisaaa........Huyu Arteta nae anaremba saaana.......
Halafu leo anapiga sana pasi za kisigino zinapotea.....Sijui kaota atatoa pasi ya goli kwa kisigino....lol
 
Wenger kafanya makosa kumwanzisha Benayoun na Rosisky. Naona kama wote wapo kati kati wanakanagana. Djorou anakosa msaidiz huku pemben, inamlazimu kila saa aingie na mpira kati. Chamberlain game ya leo itamfaa.
Ni bora angewaanzisha Rosicky na AOC.......Benayoun zake dakika 20 kama sio 15 za mwisho...
 
Back
Top Bottom