Atawaambiaje wakati kucheza hivyo kijinga yeye ndio anawaelekeza.
Huwezi kutegemea kudefend tu huku ushambuliaji ukiwa butu.
Huyu Gyokeres mimi naamini ni mfungaji mzuri sana ila tu amekuta litimu linacheza mpira wakipuuzi.
Ukiangalia Arsenal inavyocheza ni ngumu kuona katengenezewa nafasi za maana na akakosa ili tumlaumu.
Ndio maana hadi sasa hivi Gyokeres hauwezi kusikia hata mashabiki wakimlaumu hata wasioipenda Arsenal wanashindwa kumcheka maana hawana clip zakusindikizia masimamango yao.
Timu linacheza back passes kama nini sijui na kutegemea set pieces.
Kai alizomewa sana coz pia alikuwa akikosa goli nyingi za wazi coz timu ilikuwa inapiga soka safi lakusakama mpinzani.
Nyumbu,Chelsea ni mashahidi wazuri wa lile soka lakuupiga mwingi.
Nyumbu alisearchiwa hadi akatoa dakika za jioni.Ila sasa hivi ukifanikiwa kupata goli mbili against Arsenal basi umeshinda ukikaa nyuma.
Sio kama hatuna ila hii timu inacheza kwq maelekezo ya yule mjinga mpanga koni Arteta.
Haiwezekani nyumbu wawe wanauhakika zaidi wakupata goli katika mechi kuliko Arsenal wakati tumewazidi sana ubora.