Mkuu timu imeingia kutafuta ushindi Leo, Vijana morali Ipo juu.Mapema tu kama naliona bus
Hii game tucheze ata mpira wa mchangani katika kuzuia poijts 3
Au sioMkuu timu imeingia kutafuta ushindi Leo, Vijana morali Ipo juu.
Tunashinda hii game
Nyumbu siwaliwakojolea vitatu bwasheeHii arsenal arsenal hatutakiwi kushambulia kama tunacheza na nyumbu
Pep anatuinguza kwenye mtego
Unasahau ile game ya kwanza?Nyumbu siwaliwakojolea vitatu bwashee
Hahahah unasahau 8 kwa mbili?Unasahau ile game ya kwanza?