Madueke ni useless kwenye umaliziaji.. Downman kwa Leo hapana game ina pressure kubwa kuliko yeye..Bora downman kuliko madueke. Binafsi naona hvyo
HakikaMadueke ni useless kwenye umaliziaji.. Downman kwa Leo hapana game ina pressure kubwa kuliko yeye..
Downman ni professional footballer na kwenye mpira pressure ni zile dakika 10 za kwanzaMadueke ni useless kwenye umaliziaji.. Downman kwa Leo hapana game ina pressure kubwa kuliko yeye..
Kama kuna mtu anacheza hovyo Leo ni Eze..ndio wa kutoka...Anza kumfuatilia anachofanyaDownman ni professional footballer na kwenye mpira pressure ni zile dakika 10 za kwanza
Hauon kelele za mashabik wa city zimepungua sana?
Duh kdg mtukaze hapa Ila dona amecheza vzr 😎
Sawa leta ubao
Halaaaaaaaaaaaaaand
Hii arsenal arsenal hatutakiwi kushambulia kama tunacheza na nyumbu
Pep anatuinguza kwenye mtego
Sahihi kabisa, tumepoteza umakini kidogo tumeadhibiwa.Arsenal kwel vichaa wamepiga high press vzr kabisa ila wamekariri lazima mpira kipa aweke chini ndio city waanze cheki kilichowakuta kipa katoa bonge la pasi la mkono , nusu ya timu ya asenyani ipo kwenye box la city inasubiri Donaluma aweke mpira chini