Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Madueke ni useless kwenye umaliziaji.. Downman kwa Leo hapana game ina pressure kubwa kuliko yeye..
Downman ni professional footballer na kwenye mpira pressure ni zile dakika 10 za kwanza
Hauon kelele za mashabik wa city zimepungua sana?
 
Downman ni professional footballer na kwenye mpira pressure ni zile dakika 10 za kwanza
Hauon kelele za mashabik wa city zimepungua sana?
Kama kuna mtu anacheza hovyo Leo ni Eze..ndio wa kutoka...Anza kumfuatilia anachofanya
 
Kinachofuata hapa kinaeleweka.
Tafuteni pahala pa kulilia kabisaa.
View attachment 3575481
Madogo wa mabibo madishi yenu uchwara kichwani, hasa Mbaga Jr
FB_IMG_17766170129395398.jpg
 
Arsenal kwel vichaa wamepiga high press vzr kabisa ila wamekariri lazima mpira kipa aweke chini ndio city waanze cheki kilichowakuta kipa katoa bonge la pasi la mkono , nusu ya timu ya asenyani ipo kwenye box la city inasubiri Donaluma aweke mpira chini
 
Arsenal kwel vichaa wamepiga high press vzr kabisa ila wamekariri lazima mpira kipa aweke chini ndio city waanze cheki kilichowakuta kipa katoa bonge la pasi la mkono , nusu ya timu ya asenyani ipo kwenye box la city inasubiri Donaluma aweke mpira chini
Sahihi kabisa, tumepoteza umakini kidogo tumeadhibiwa.
Kai nae anatukosesha magoli ya wazi kabisa sehemu ambayo Haland hakosi
 
Back
Top Bottom