Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii ndio arsenal Netflix tunayoijua siku zote. Flano naona hamis masingeli a.k.a kiraka kinachofiti kila sehemu kuanzia kwenye mpira,dini na sasa hivi kaamia huko jukwaa la international kama mchambuzi na mtaalamu wa masuala ya geopolitics hasa kwenye vita vya iran,Israel na marekani.
 
Kenge Labyrinth 84 anaifuatilia Arsenal kuliko anavyoifuatilia Nyukeso yake.

Ukute hata hajui kama wamepigwa huko na PalaceπŸ˜…
Kwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .
Kama kugombania msimu uliopita tuligombania kombe na tukashinda carabao cup! Tuligombania kitu tunagombania kweli .

Sio nyinyi takataka
 
Sielewi ni kivipi Chelsea hajaungana na Spurs kwenye relegation kule. Tukisema timu mbovu tunaanzns kuambiwa Caicedo mzuri kuliko Rice
Usimfananishe agent wetu wa man City na huyo mchele wenu, agent Wa city amefanya kazi nzuri sana leo kufunga goli la tatu πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…