Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa hiyo kushika nafasi ya pili nayo nimafanikio???
 
Hili Wimbi la majeruhi kwenye mechi za kirafiki mnaekti ili mrudi klabuni kupambania mechi za mwisho mwisho?

Siamini, kuna michezo michafu inafanyika kuwalinda nyie mbweha
Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.

Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
 
Tangu Saka acute hiki chombo siku hizi amekuwa uchoro Sana uwanjani.
Sijui amepagawishwa kwa mauno ama vipi bt honestly jamaa viwango vyake vimepungua uwanjani.

He's not the Saka we used to know in the last 3 seasons
 
Players who have withdrawn from international duties so far

Pietro Hincapie
Bukayo Saka
Leandro Trossard
Martin Ødegaard
Declan Rice
Noni Madueke
Martin Zubimendi
Eberechi Eze
Jurien Timber

Arteta & his boys must be cooking something🤔
 
Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.

Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
Sahihi , lazima kuna jambo behind....wachezaji zaidi ya 5 wote, wamejitoa kwenye national team
 
Gabriel M, na Saliba hivi nao wana discomfort na wamejitoa national team zao ? Mnachekesha sana !!!!
 
Mie nilitoka mapema, huko mbele sijatizama, halftime tu nikaondoka nikijua hapa arsenal hatoboi.
Bora wewe akili kubwa. Kuna mjinga mmoja wa arse8 hapa anasema "...lakini mpira tumewachezea sana, yale magoli wametuvizia tu"
 
Worst performance.

Haiingii akilini kwamba Arsenal ili ashinde mechi ya FA dhidi ya Soton aliyeshuka daraja inabidi awe na kikosi kinachotarajiwa kushindana UCL.

Wachezaji kama vile wamekutana leo wazenge kabisa. Mi sijanunua TV ili nije kuangalia usenge kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…