Ni Asset, yeye na wenzake wameiwezesha Arsenal kushika nafasi 2 Epl mara 2 mtawalia na mwaka huu Wanapoenda kuchukua Ubingwa Epl na kucheza fainali UEFA ndo utakuwa uthibitisho kamili kwamba Hela Yao Arsenal imerudi...
Sasa, swali Hilo Hilo, jiulize,sisi Liverpool Kwa Florian "Virtz" na Alexander Isak pesa yetu itarud kweli??? Na tusipocheza UEFA msimu ujao ndo kabisa....
So tuache mihemko Kwa Arsenal kisa Kukosa Carabao, kumbuka Januari hii Guadiola alifanya tena usajili, pesa kwake sio tatizo Kwa waarabu.. ni vile tu na yeye Majeruhi kadhaa na Mbinu zake za soka zishaanza kufeli, watu walishakaa maabara.