Upumbavu huu wamewafundisha na EvertonTimu bila set pieces basi halipati magoli bado yanajisifu yana timu kali.
😃😃
Usikasirike mzeeIla Arsenal bana
View attachment 3550700
Mwakani conference leagueTimu bila set pieces basi halipati magoli bado yanajisifu yana timu kali.
😃😃
Inachotakiwa kushinda mechi kama hizi na kuja kummalizie City mwenyeweMechi za Brentford na Wolves tungeshinda inawezeka za Spurs na Chelea tungesuluhu.
Na tofauti ya points ingebaki hivi hivi.
Route tuliyopita ndiyo tamu. Piga wapinzani wa jadi na hizi kenge zisibaki hata 6 bora
Ni jambo la kisaikolojia ili tuwe sawa misimu inayoendelee ubingwa msimu huu ni muhimu sanaPamoja na ushindi leo,arsenal haijacheza vizuri,kwa maana ya kupoteza nafasi muhimu.
Kiukweli kunakitu kocha anamis kwenye namna ya kuwafanya wachezaji waone umuhimu wa hizi mechi zilizobaki.
Kipa amefanya kazi yake vizuri sana,tunaamini mwaka huu Arsenal atanyanyua kwapa,pamoja ni kwa taaabu.