Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi za Brentford na Wolves tungeshinda inawezeka za Spurs na Chelea tungesuluhu.

Na tofauti ya points ingebaki hivi hivi.

Route tuliyopita ndiyo tamu. Piga wapinzani wa jadi na hizi kenge zisibaki hata 6 bora
 
Pamoja na ushindi leo,arsenal haijacheza vizuri,kwa maana ya kupoteza nafasi muhimu.
Kiukweli kunakitu kocha anamis kwenye namna ya kuwafanya wachezaji waone umuhimu wa hizi mechi zilizobaki.
Kipa amefanya kazi yake vizuri sana,tunaamini mwaka huu Arsenal atanyanyua kwapa,pamoja ni kwa taaabu.
 
Mechi za Brentford na Wolves tungeshinda inawezeka za Spurs na Chelea tungesuluhu.

Na tofauti ya points ingebaki hivi hivi.

Route tuliyopita ndiyo tamu. Piga wapinzani wa jadi na hizi kenge zisibaki hata 6 bora
Inachotakiwa kushinda mechi kama hizi na kuja kummalizie City mwenyewe
 
Ni jambo la kisaikolojia ili tuwe sawa misimu inayoendelee ubingwa msimu huu ni muhimu sana
 
Ni jambo la kisaikolojia ili tuwe sawa misimu inayoendelee ubingwa msimu huu ni muhimu sana
Kweli boss,kuna ujinga unafanyika,yaani unakuta ushangae! Like hawa huwa wanapokea aina gani ya maelekezo? Kipindi cha kwanza zimepotea nafasi tatu za kufunga,yaani mtu yupo kwenye position anatoa pasi kwa mtu alie out of..
 
pira senge limepigwa leo.. wachezaji wengi wa arsenal wanakata moto taratibu ,rotation ni muhimu sn kuokoa jahazi.
 
Hizi timu zinazorely kwenye kukimbia kimbia dawa ni hii.

Susia possession.

Haziwezi kuconnect hata pasi 7 kabla mmoja hajaamua kushoot au kupiga long ball itakayozuiwa easily.

Pambafu
 
March 22 itakua fainali ya Carabao dhidi ya City. City are mad, watakuja kutupiga na gegenpress hawatopaki basi kama last time tumecheza nao.

Apparently hatuna kipa mbaya kwenye ishu za penati so wana watataka kumaliza hii kazi uwanjani. Tuna madhaifu ambayo mengi ni kutokua clinical kwenye finishing na kutoshuti wakati mpira unaambaa kwa lengo hilo.

Game ya jana ya Brighton magoli ya pande zote mbili yalitokana na utayari wa wachezaji kushuti and thats it.

Eze, Timber, Saka, Zubimendi wote walikua kwenye nafasi moja au mbili za kushuti ila wakaopt kua wapuuzi. Ambacho sielewi ni kocha anawaambia waignore shooting au kuna siri gani tusiyoijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…