Inachotakiwa kushinda mechi kama hizi na kuja kummalizie City mwenyeweMechi za Brentford na Wolves tungeshinda inawezeka za Spurs na Chelea tungesuluhu.
Na tofauti ya points ingebaki hivi hivi.
Route tuliyopita ndiyo tamu. Piga wapinzani wa jadi na hizi kenge zisibaki hata 6 bora
Ni jambo la kisaikolojia ili tuwe sawa misimu inayoendelee ubingwa msimu huu ni muhimu sanaPamoja na ushindi leo,arsenal haijacheza vizuri,kwa maana ya kupoteza nafasi muhimu.
Kiukweli kunakitu kocha anamis kwenye namna ya kuwafanya wachezaji waone umuhimu wa hizi mechi zilizobaki.
Kipa amefanya kazi yake vizuri sana,tunaamini mwaka huu Arsenal atanyanyua kwapa,pamoja ni kwa taaabu.
Haya Makenge,Piga hawa kenge mavumbi, arsenal ni 🔥
Kweli boss,kuna ujinga unafanyika,yaani unakuta ushangae! Like hawa huwa wanapokea aina gani ya maelekezo? Kipindi cha kwanza zimepotea nafasi tatu za kufunga,yaani mtu yupo kwenye position anatoa pasi kwa mtu alie out of..Ni jambo la kisaikolojia ili tuwe sawa misimu inayoendelee ubingwa msimu huu ni muhimu sana
Mna hangaika ka mbuzi wa kafara.Hata Droo sio mbaya halafu City wanakuja kushinda kwa chelsea na Arsenal, hesabu halidanganyi hahahaha........
Mbwa koko hujamboImeisha hiyo.
Ila leo ushindi kweupe kwa Chelsea
MWaka huu zero trophyMwakani conference league
Hehehe tukutane MarchMWaka huu zero trophy
Sahivi nikushinda mechi zote zilizobakia tuu dhidi ya City tutaiendea kibingwa zaidiRaya saved us so much especially dakika za mwisho.
Kituo kinachofuata ni Brighton
Tutafurahi kazi ikiisha nduguTia maji tia maji.. mnashinda lakini hamna furaha!
Tupo na nyie mpaka mwisho wa msimu Pep ananyanyua kwapa !