Sijasema saka mbaya, ila nimesema ni wa kawaida tu nikajiuliza saka vs lamine vs rodrygo, vs luis diaz vs vini... utaona saka humo mote hafui dafu.Saka sio mbaya kihivyo mkuu ni vile huu msimu amesumbuliwa Sana na majeraha ndo maana viwango vyake vimeshuka
Same na Martin Ødegaard
Hao kina Vini na Rodrygo wakija kwenye premier league wataflop vibaya sanaSijasema saka mbaya, ila nimesema ni wa kawaida tu nikajiuliza saka vs lamine vs rodrygo, vs luis diaz vs vini... utaona saka humo mote hafui dafu.
Odegaard nae ni yale yale, mbaya zaidi kuna namna kama karidhika.. sehemu za kuachia mali wakati mwingine haachii.
Arsenal ni raya, timber, saliba, gabriel.. hawa popote wanacheza, ongeza na declan rice(mapafu ya mbwa) imeisha hiyo..
Kwa mbaaali eze
Kwa mbaaaaali tena g jesus
Tunamzungumzia mchezaji kwa wakati husika, hiyo wata, wata.. hatuna uhakika mzee.. kuflop kuna sababu nyingi, torres katoka liver kwenda chelse ni EPL kwa EPL sanchez kwenda Manchester kutoka arsenal...Hao kina Vini na Rodrygo wakija kwenye premier league wataflop vibaya sana
Mkuu,Bora Saka mara 20 kuliko huyo RodrygoTunamzungumzia mchezaji kwa wakati husika, hiyo wata, wata.. hatuna uhakika mzee.. kuflop kuna sababu nyingi, torres katoka liver kwenda chelse ni EPL kwa EPL sanchez kwenda Manchester kutoka arsenal...
Kwa sasa rodrygo na saka, mie nachukua rodrygo.
Mkuu naheshimu maoni yako...Mkuu,Bora Saka mara 20 kuliko huyo Rodrygo
Nenda kalinganishe statistics zao afu urudi hapa
Naheshimu maoni yako pia bt time will tellMkuu naheshimu maoni yako...
Ila mimi si muumini wa mpira takwimu... mie ni mpira kuona..
Kwa nilichoshuhudia, rodrygo kwangu ni bora zaidi.
Huyu ndio ARV, yani akiona arsenal inafungwa lazima aje. Pole bwana ARV 🤣
Sababu mfu hii kiongozi.Uhuni wa kufosi Arsenal acheze Jumatano ili City awe na game mkononi ndiyo alifanyiwa Liverpool na ndiyo Arsenal tunafanyiwa mara ya pili
Vipi ulicheka eeh.Hatimaye siku imefika kuchekeshwa na Arsenyembo 😂
Naona mmeamua kunywa energy drink wenyewe, mpate nguvu maumivu yaendelee.Natamani Sana kuendelea kuiona Arsenal ya Jana kwenye mechi kumi zilizobaki.
The title is ours to loose
Mmekunywa mo energy, mmepata nguvu sasaKenge zimekimbia
Lakini hao Spurs pamoja na ubovu wao ujue waliokota point 4 kwa City ambaye ndo mpinzani wetu wa karibuSpurs alikua mpinzani mwepesi wamecheza ovyo,walikua Unga kwenye eneo la ulinzi wa defend ovyo sioni kama ilikua kipimo kwetu ila muhimu tuu mentality ya ushindi imerejea tena.
Kipimo chetu pale tutakapo kukutana na timu zinazokaba low block na zinazotumia nguvu ili tuone eneo letu la kiungo kwenye ubunifu kwenye final third limebadilika.