Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Mkuu unacheka kizungu...hawa jamaa wanatupa furahaHahahahahahaha
Mbona kama hata manjesta tunaweza wapita hawa viazi?π€Shikilieni bomba vizuri
Arsenal bingwaArsenal: 58% possession, mashuti 10, yaliyolenga 5.
Wolves: shuti 1 lililolenga, magoli 2.
Hawa jamaa wanaita βtitle chargeβ kumbe ni kuongeza presha ya mashabiki bure.
Mwisho wa ligi, Arsenal atasalia kuwa Arsenal β mabingwa wa βnext seasonβ na maumivu ya moyo.
-Netflix FC! π
View attachment 3545881
Huwajui vizuri Aser8 fans wewe, akili zao zinawatosha wenyewe...Sijashangaa kupoteza point kwenye mechi ambazo pengine mlionekana favourites
Vs Utd mbovu mlikandwa hapo kwenu
Vs Brentford mnacheza mashudu tupu
Vs Wolves waliojiozea mmepoteza points .... sio tu kupoteza points, mnacheza mashudu matupu..... hii ndio mid tuliyoambia imesheheni WC players ? Hawa wakina Rice, Zumimendi, Odegaard? Eze ? Mid ambayo hata kukontrol tempo ya mchezo tu ni shida?
Mna imani na Arteta atawafikisha nchi ya ahadi ? Zimebaki points ngapi nyie na Pep ? Nilishasema hapa na narudia tena, hii ndo mida Ya Pep, hacheki na kima !
Kuna haja ya kumjadili Raya.... huyu akiendelea na hii form hata timu ya taifa world Cup atawekwa kando !!!
Ngoja niongeze Popcorn πΏ, ligi ndo imeanza
Gape ni dogo sana, pia wana fixtures ngumu zinakuja.... presha ipo kwao, kudondosha Points ni lazima hawana namna !Huwajui vizuri Aser8 fans wewe, akili zao zinawatosha wenyewe...
Hawana tofauti na Ke wanaojifungua watoto kwa uchungu na kujiapiza hawatazaa tena, baada ya muda tena wana vibendi π
Tupe matokeo ya arsenyemboInter milan alikuwa 1-1, kasha dundwa 3-1.
atletico Madrid alikuwa 2-0 karudishiwa zote.
Kwenye kumbi za kucheki mpira hivi vishabiki vina mzukaππBado spurs aje agonge Msumari Wa mwisho π
Chelkenge tunawasubiri watuambie nani kawapa ruhusa ya kutuita hiviBado spurs aje agonge Msumari Wa mwisho π