Eze mchezaji mzuri ila mvivu. Anacheza kama hataki/ Kibishoo.As reported
Brentford wamekuja na 4 2 3 1 Arsenal tumestick na hii formation pia.
Hii formation ndiyo imewaweka karibu Kai na Victor na kwa sasa Kai ni majeruhi option aliyoona boss ni kubaki na formation.
Ikiclick itamaanisha changamoto siyo watu ila ni mfumo. Hata hivyo natarajia struggles kwa Eze kukaba, double pivot ya Rice na Zubimendi itasaidia kumpa msaada wa ulinzi Eze.
Mengine tusubiri show ianze
Huyu mchezaji niseme ukweli tu kwa siku za hivi karibuni simkubali uchezaji wake ni hajitumi akiwa na ball au asipokuwa na ball ni haoneshi kupambana kiukweli.Eze kazingua mpaka naangalia game ya atletico Madrid, aisee ni 🔥 🔥
Ngoja wapigwe yamal aache mdomoEze kazingua mpaka naangalia game ya atletico Madrid, aisee ni 🔥 🔥
Arsenal kwenye transtion kwenda kwa mpinzani hawako na uharaka ndo maana timu nyingi zinawahi kukaba ndo inakuwa imeisha hivyo..wanabaki kupiga pass za nyuma na pembeni tu.Wakijakupata viungo wenye uharaka wa maamuzi basi timu itabadirika.Kuna nyie vilaza mkizidiwa mnasema mmesusia possesion, ila mkidominate wamepaki basi. Mna commedy sana nyie mazwazwa.
Mpk sasa mna 0 on and off target, dk.49. nawaona mnaset standard.
Kelele nyingi, subiri game ya wanaume iishe.Kuna nyie vilaza mkizidiwa mnasema mmesusia possesion, ila mkidominate wamepaki basi. Mna commedy sana nyie mazwazwa.
Mpk sasa mna 0 on and off target, dk.49. nawaona mnaset standard.
Hii timu wanaojituma ni wachache wengi wao wanatembelea jitihada za wachache. Timu inawavivu kibao ,timu haina uharaka mpaka labda itokee shambulizi la kushtukiza la wazi sana. Timu imekuwa inaruhusu magoli malahisi mno..kwenye kukaba hawako compacted sana kama timu nyingine.Arsenal wakipigwa msako wa nguvu hawachelewi kufungwa sabab wengi wao wanakaba kwa macho tu.Halftime niliingia online nikakuta kila shabiki analalamika kwamba timu imecheza hovyo.
And yes, timu imecheza hovyo siyo kidogo.
Kama ungekua unaangalia mechi halafu upo na watoto wangekusikia ukiwa unatukana tu.
Ila mwendo ni ule ule mwizi anagewa energy ili aendelee kubondwa
Ndio ujinga unaikwamisha arsenal kupata matokeo haraka, ubingwa ule unapoteaArsenal kwenye transtion kwenda kwa mpinzani hawako na uharaka ndo maana timu nyingi zinawahi kukaba ndo inakuwa imeisha hivyo..wanabaki kupiga pass za nyuma na pembeni tu.Wakijakupata viungo wenye uharaka wa maamuzi basi timu itabadirika.
Angalia hizi game Manchester city atakavyozucheza hadi anakuwa bingwa. Arsenal sahizi badala waamke wapambane sababu ligi ndo inaelekea mwishoni, timu ikidondosha points ndo basi hamna tena marudiano. Arsenal ndo kwanza anazidi kujirudisha nyuma. Anapiga hatua 5 mbele, anarudi hatua nyuma...hivyohivyo hadi ManCity atamkuta na kumuacha. Arsenal hapotezagi sana mechi kwa kufungwa ila yye anakosaga kombekwa sare nyingi😅😅😅Ndio ujinga unaikwamisha arsenal kupata matokeo haraka, ubingwa ule unapotea
Msimu wa tatu makosa ni yale yale hii timu sijui imerogwa na nani.Angalia hizi game Manchester city atakavyozucheza hadi anakuwa bingwa. Arsenal sahizi badala waamke wapambane sababu ligi ndo inaelekea mwishoni, timu ikidondosha points ndo basi hamna tena marudiano. Arsenal ndo kwanza anazidi kujirudisha nyuma. Anapiga hatua 5 mbele, anarudi hatua nyuma...hivyohivyo hadi ManCity atamkuta na kumuacha. Arsenal hapotezagi sana mechi kwa kufungwa ila yye anakosaga kombekwa sare nyingi😅😅😅
Haijarogwa mkuu ila haina mentality ya ubingwa/ kushindana we angalia tu Arsenal tunashinda hasa timu tunayocheza nayo ikikubali ila ikishindana game inakuwaga ngumu sababu ya aina ya wachezaji tulio nao na mfumo wa kocha wa Arteta amekaririka. Naona watu wanalaumu kwamba timu za EPL zinameambiwa zucheze Low block zikikutana na Arsenal.Sasa kama mbinu hiyo inawapa shida Arsenal kwann wasicheze sasa. Arteta akichezewa hivyo ni sare au anafungwa au tubahatishe goal zetu za mipira ya adhabu au kona hatuna mbinu nyingine sabab hatuna wachezaji wakufungua wapinzani zaidi ya wachezaji wakipiga pass tu.Msimu wa tatu makosa ni yale yale hii timu sijui imerogwa na nani.