Na hata katika hio faulo, huyo haaland mwishoni pale alimvuta szobo akadondoka akashindwa kuzuia goli lisiingie so refarii akaamua kudeal na faulo kwanza kbs aliyocheza szobo na kumpa red, so goli linakuwa haliwezi kusimama, lakini mihemko mingi kuanzia wachambuzi,kocha pep nkPep anakuambia goli lingeachwa halafu Szoboszlai asigewe red.
Tangu wiki iliyopita Pep yupo kwenye mood ya kwenda kinyume na sheria tu.
Alichofanya Szoboszlai ni kumvuta fulana mchezaji aliyekua anatakiwa kwenda kuscore hii ni faulo ya Denial Of Goal Scoring Opportunity (DOGSO) iwe isiwe hua inakua red.
Ila Pep anasema red isingetoka goli liachwe halafu wawe wameshinda 3. In a bigger picture ni kwamba in a long run hili goli moja linaweza saidia ikifika siku points zipo tied mnabaki kutumia magoli kutafuta mshindi.
Not today Mister
Na ndo maana mnaongoza Ligi na mnaenda kuchukua ubingwa ManchesterNionyeshe mvunja kuni declain Mchele akifanya hivi vitu na mimi nikuonyeshe mbuzi anaetaga.
View attachment 3541977View attachment 3541978
dah hatarTimu inacheza Feb 1.
Inakuja kucheza Feb 7.
Ikapumzika siku 6. Ikashinda.
Ikacheza Feb 10.
Ikapumzika saa 72. Ikasuluhu.
This means ingekuepo next game ya kupumzika saa 72 hii timu inapasuka.
Sasa timu zingine kila baada ya saa 72 mechi na matokeo yana consistency ile ile. Maji na mafuta lazima yajitenge
Wanasema kila mtu ashinde mechi zake ila kutwa wanaiombea City kupoteza michezoKwahiyo jana hamkulala mkidhani MAN SHIT atadrop points??
Mzee hizi game 12 za MAN SHIT hakuna boya atapita salama, mkishindwa kushikilia bomba baaasi Mmekwishaa... Muulizeni KLOPP anamjua vizuri kipara kwenye hizi kazi.
Tukienda kwa uhalisia wa mambo tambo za ubingwa kwenu hazitokani na ubora wenu msimu huu ila form mbaya ya timu pinzani hasa City. Sasa City kaamka mmeanza kuingiwa uoga wenyewe.Ninachotaka ni tushinde kwa kustruggle.
Tushinde kwa magoli ya own goals.
Tushinde kwa kona.
Ugly victories.
Sura mbaya.
Ili waendelee kuamini tutataanguka muda si mkubwa.
Nataka machozi na malalamiko.
Nataka kuona mashabiki wa timu pinzani wakibishana wenyewe kwa wenyewe.
NAtaka kuona maoni ya kijinga juu ya uwezo wa timu yakitawala.
Hizi ndizo zinasababisha niamke na kuingia JF
Comments za hivi ndiyo nilizomaanishaTukienda kwa uhalisia wa mambo tambo za ubingwa kwenu hazitokani na ubora wenu msimu huu ila form mbaya ya timu pinzani hasa City. Sasa City kaamka mmeanza kuingiwa uoga wenyewe.
🤣🤣🤣 Kama kawaida yenu wazee wa kutetemeka kila msimu ligi inapokua inaelekea ukingoni.Inapaswa tu direct kweli kweli, Tokea Saka na Odegaard wawe nje ya uwanja kwa majeruhi ndio Arsenal imefanikiwa kumtumia vizuri Gyokeres.
Bahati mbaya Kai ameumia sijajua approach ya kocha itakuwaje ila mfumo wa 4-2-3-1 umekua mzuri zaidi mashambulizi yapitie kati na tuwe na uwezo wa kupiga mashuti nje ya boksi.
Hakuna nafasi ya makosa tena, tukipoteza point hata moja leo tusahau ubingwa. Na akifeli msimu huu sioni tena uwezo wa kubeba EPL msimu ujao maana timu zote zitafanya rebuilding.
It's a now-or-never situation, up the gunners!!