Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,906
- 7,127
Sasa uwakute wakiwa wanawazungumzia hao kina dada Zube unaweza dhani ni kina Xavi na Iniesta 😃😃😃😃😃😃😃
Tunaanza tena kuwahesabia makombe yenu yote manne mtayobeba msimu huu kama kawaida yetu
Iwe jua iwe mvua...Huko Nottinghamshire kuna mbungi moja la hatari sana.
Hadi dakika hii N. Forest 0 vs 0 ArsenalNDOO
Points 3 zipo pale pale, iwe jua iwe mvua
Another false hope, unaruhusiwa kuota ila usijikojolee tu.Leo tunaweka gape la points 9 clear
Man city tutambomoa pale pale etihad
#ArsenalNDOO
Hizi notes kila false hoper azipitie ni notes muhimu sana soma mstari kwa mstari neno kwa neno.Hakuna timu iliwahi kuchukua ubingwa kwa kutegemea corners, game ya man city vs brighton unaona kabisa chances zilitokea kwa man city ila tu walishindwa kumalizia kitu kinachotokea kwa team yoyote ukiwa na siku mbaya.
Champions teams always au dalili zake huwa unapokutana na team kubwa ikiwa vibaya basi lazima unampa dozi ya maana, rejea Liverpool last season against man city mbovu halafu angalia arsenal akiwa home against Liverpool mbovu hapo ndio unaona why tunaita arsenal false hopers. Last season liver team ikitokea zimedraw basii yeye alikua ni kuongeza gap la points mpaka zikafika 10 .
All in all narudia kusema tena kwa uhakika zaidi THIS SEASON ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE . Hatuyasemi haya kisa chuki bali tunausema uhalisia wenyewe.
Another false hope kutoka kwa false hoper .. hii timu kuiita false hopes hatukukosea kabisa.Mwendo ni ule ule.
Mwizi anagewa Azam energy ili nguvu zimrudie kipigo kianze upya.
HAkuna pimbi wa kuongea kitu
Unazungumza kuhusu kombe 😆😆 nadhani tukihesabu kwa miaka 21 hii makombe ya arsenal na arsenal fans walioujiua sababu ya false hopes unahisi idadi itakua vipi?We Lofa....tukishabeba kombe tutakukaribisha kwny sherehe za ubingwa uje uhudhurie maana tunajua Bado ww ni mwenzetu ila una act kama hutupendi hivi🤠🤠...welcome to the Gyokeres show
Sikuingia muda mrefu humu ndani ngoja nipitie baadhi ya false hopes nifurahiiHuyo liver tunamuua mapema sana, sio chini ya chuma tatu.
Ule ushindi wao wa papatu papatu walio tuotea na ile free kick unaenda kuwatokea puani
Mark my words
Challenge bado inaendelea au mnataka Sporting warudishe hela😂Nimeona kwenye mazoezi kuna internal challenge ya kum unlock gyokeres, yani pass to gyokeres so he can score many
Liverpool hawana jealousy hivi...Iko hivi mtachukua makombe yote ila uefa hamtakuja kubeba hata iweje kenge wakubwa nyie.
Yani Arsenal mpaka wapinzani huwa tunasupport angalau na nyie mbebe Epl moja mfute machozi kama Liverkuku lakini wanetuu hampo serious kabisa msimu uliopita kwa Liverpool ilikuwa hivi hivi😆Online mashabiki wapo on fire juu ya timu kushindwa kucapitalize makosa ya City.
Wanaamini kocha hakua serious kumuanzisha Madueke. Alikosea kumuanzisha Martinelli.
Nyakati hizi kila mtu hua anaongea aonekane anajua. Tufocus na mechi zijazo
Lakini wakina Saka,Eze,Merino nk wote su walicheza kipindi 2, Wangesaidia timuArteta alaumiwe kwa hii game,
Yani unatafuta ubingwa alafu unaanzisha kikosi cha akina madueke
Yap Mimi mwenyewe Liverpool naona arsenal ni wakati wake na yeye achukue "Ipielo" misimu zaidi 3 nyuma kalipambania sana, sasa ngoja guadiola afufuke awamu2 na aanze zile winning streak zake Hadi mechi12-15 mfululizoYani Arsenal mpaka wapinzani huwa tunasupport angalau na nyie mbebe Epl moja mfute machozi kama Liverkuku lakini wanetuu hampo serious kabisa msimu uliopita kwa Liverpool ilikuwa hivi hivi😆