Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sunderland kapigwa na nyumbu akiwa ugenini, tumsubiri nyumbu na yeye aende pale kikaangoni
Binafsi naona nyumbu anaenda kufa

Kuhusu city kupoteana tusubiri hiyo jpil kenge watusaidie kumvuta shati labda ndio wataanza kuongea.
Ila mashabiki wa kenge wao wataka kufungwa sio chini ya chuma 5 wakiamini wanamkomoa Arsenal
Q
Wakati tuna elekea kucheza na villa, chelkenge Mbaga Jr alikuwa ana omba tufungwe, kisha na yeye akabutuliwe na city.

Sasa Kwa walivyo fukuza kocha, hapa city kazi anayo kudadadeki.
 
Sunderland kapigwa na nyumbu akiwa ugenini, tumsubiri nyumbu na yeye aende pale kikaangoni
Binafsi naona nyumbu anaenda kufa

Kuhusu city kupoteana tusubiri hiyo jpil kenge watusaidie kumvuta shati labda ndio wataanza kuongea.
Ila mashabiki wa kenge wao wataka kufungwa sio chini ya chuma 5 wakiamini wanamkomoa Arsenal
Mimi mwenyewe nataka wafungwe nyingi za kutosha.

Kama Forest alikufa kwa late minute goal means kuna mid teams zitamzuia City siyo lazima Chelsea.

Hao wafe hata kumi
 
Mimi mwenyewe nataka wafungwe nyingi za kutosha.

Kama Forest alikufa kwa late minute goal means kuna mid teams zitamzuia City siyo lazima Chelsea.

Hao wafe hata kumi
Kenge wakishinda kelele zitakua nyingi, draw itakua fair results
Mimi naombea iwe draw tu mambo yasiwe mengi
 
Sunderland kapigwa na nyumbu akiwa ugenini, tumsubiri nyumbu na yeye aende pale kikaangoni
Binafsi naona nyumbu anaenda kufa

Kuhusu city kupoteana tusubiri hiyo jpil kenge watusaidie kumvuta shati labda ndio wataanza kuongea.
Ila mashabiki wa kenge wao wataka kufungwa sio chini ya chuma 5 wakiamini wanamkomoa Arsenal
Mara ya mwisho Chelsea anamfunga City ni fainali ya CL.

Goli anafunga Kai.

Hawa usipige hesabu za ushindi na ni sawasawa wakibondwa wawe nje ya CL hata misimu mitatu kwanza ili wajue pesa na kubadili makocha siyo dawa
 
Mara ya mwisho Chelsea anamfunga City ni fainali ya CL.

Goli anafunga Kai.

Hawa usipige hesabu za ushindi na ni sawasawa wakibondwa wawe nje ya CL hata misimu mitatu kwanza ili wajue pesa na kubadili makocha siyo dawa
Kenge na nyumbu inabidi wawapishe Kuna timu kama nne hivi zinakuja pale juu kutokea chini

Kenge kubadilisha kocha maana yake amekubali msimu huu wameshaumaliza

Nyumbu wanaona waendelee kukomaa na Amorim, wakiogopa kufanya mistake hiyo aya ya juu ya kenge.
Ukweli ni kwamba meli ya nyumbu kitambo tu inaingiza maji
 
We bwege nilikuambia mwanzo wa msimu nyny Huwa mkishafika katikati ya msimu mnasema Kocha out🤠🤠....sasa baba wa watu mmemtimua kwni yy ndo anamuelekeza Caicedo acheze ufala mule ndani au Garnacho akimbiekimbie.....yule mwalimu wenu inaonekana alikuwa anataka waletwe watu wa kazi nyny na Eghbali wenu mnamletea Gittens na Garnacho halafu mnataka mbebe ndoo kwli??....forward Delap na Pedro???.....jiqndaeni ipadavyo Carling Cup tukikutana.....habari ya kusema mna bahati Palmer hakuwepo safari hii hatuitaki....nyny bdo watoto wadogo sana kukaa Meza moja na watu wazima.....ila chondechonde jirani....j2 London iwe ya 💙....tafadhali sana
 
Kama masihara ila mpaka sasa hivi timu pekee iliyoziona nyavu za Arsenal mara mbili kwenye mechi moja ni Sunderland na Aston Villa
 
next three games for arsenal and man city


Arsenal
  • Bournemouth
  • Liverpool
  • notiham forest,

Man City
  • chelsea
  • brighton
  • man united

suluhu 2 kwa chelsea and united, uwii 😁 😁
Kocha mwenyewe wa mechi kubwa washamfukuza(Maresca) na still tukisimamia kwenye rekodi Chelsea misimu zaidi4 hawajapata ushindi mbele Mancity, hapo labda mechi na Brighton na Man Utd anaweza dondosha pointi, maana Brighton toka enzi za potter,De zerbi mara moja huwa anaisumbua sn city ht iwe Bora vp na mechi ya kwnza Brighton alipata ushindi ila guadiola atakuja kvngne kulipiza over thinker yule na mkumbuke kiungo wake rodri karudi.....
Arsenal gemu ngumu hapo ni ya Liver, japo kikosi Cha kumfunga liver anacho na atataka kulipiza kufungwa mechi kwnza pamoja na kucheza vzur akaja kufungwa dakk za jioni goli la faulo na Zobo
 
Kocha mwenyewe wa mechi kubwa washamfukuza(Maresca) na still tukisimamia kwenye rekodi Chelsea misimu zaidi4 hawajapata ushindi mbele Mancity, hapo labda mechi na Brighton na Man Utd anaweza dondosha pointi, maana Brighton toka enzi za potter,De zerbi mara moja huwa anaisumbua sn city ht iwe Bora vp na mechi ya kwnza Brighton alipata ushindi ila guadiola atakuja kvngne kulipiza over thinker yule na mkumbuke kiungo wake rodri karudi.....
Arsenal gemu ngumu hapo ni ya Liver, japo kikosi Cha kumfunga liver anacho na atataka kulipiza kufungwa mechi kwnza pamoja na kucheza vzur akaja kufungwa dakk za jioni goli la faulo na Zobo
Amini usiamini, Chelsea win or draw.
 
🤣🤣🤣 False hopes zinazoendelea humu hua zinafurahisha sana.
Sio kwa lengo baya bali ni kukumbushana tu maana binaadamu tumeumbiwa kusahau,
Msimu juzi Arsenyo ilikua inaongoza ligi kwa points 8, na zilikua zimebaki mechi 6 kumaliza ligi, cha ajabu City wanamaliza ligi wakiwa ndio mabingwa tena kwa kuwaacha Arseyau nyuma kwa points 8.
Hata JK alishawahi kusema kua "Arsenyau ni kichwa cha mwendawazimu"
 
🤣🤣🤣 False hopes zinazoendelea humu hua zinafurahisha sana.
Sio kwa lengo baya bali ni kukumbushana tu maana binaadamu tumeumbiwa kusahau,
Msimu juzi Arsenyo ilikua inaongoza ligi kwa points 8, na zilikua zimebaki mechi 6 kumaliza ligi, cha ajabu City wanamaliza ligi wakiwa ndio mabingwa tena kwa kuwaacha Arseyau nyuma kwa points 8.
Hata JK alishawahi kusema kua "Arsenyau ni kichwa cha mwendawazimu"
Huna marinda wewe
 
Naona Santo kaamua kuipa timu yake ya zamani ushindi wa kwanza
 
Kuna golden rule inasema "Do not change your winning team"

Leo kwenye attacking kuna Madueke na Martinelli, sura ambazo hatujaziona zikianza kwa kipindi kirefu kidogo. Kwa Trossard ambacho amekua anafanya wengi tunaamini anastahili kua starter kwa muda mkubwa ujao.

Ila with Martinelli una uhakika wa work rate ya defense nafikiri Hincapie ana uhakika wa kusaidiana sana na Martinelli. Niliwahi sema Hincapie siyo kibonde pale Leverkusen inachukua ubingwa amecheza msimu mzima, na ilichukua ubingwa bila kupoteza mechi.

So it's natural Skelly kuwekwa nje na huyu jamaa. Last game alikua anafanya overlapping kama Martinelli atakua anaona vizuri inawezekana crosses zikatoka nyingi sana upande huo.

UKiachilia hawa kikosi kimebaki kilivyo.

Bournemouth watacheza usual style, try to absorb pressure na kutegemea counter na long balls. Kama tukifanya pressing ya last game na kama ya Spurs tutashinda early. Tuna Magalhaes na Saliba ambao ni aerial beasts kwenye boksi la mpinzani na la kwetu.

Observe
 
Back
Top Bottom