Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa Liva nikuwapelekea moto tu, hii mipango mipango ya back pass inawaweka mchezoni.
 
Dogo kumbe wakishua enzi hizo unacheki Tv kwenu mna mpaka madishi wakati wengi wakiwa analog na Tv mpaka kwa jirani wachache.

Mimi nimeanza 2008 enzi hizo nipo darala la kwanza

Sema liva tumeingia na approach nyepesi(labda sababu ya ubora wenu) ila nyie mkisakwa vizuri mnameza ndoano vizuri kabisa
Liverpool kaingia vizuri, akibadirika atafungwa. Anashambulia inapobidi then anarudi kujilinda, asipishane na Arsenal atamiminiwa.Arsenal ukikaa nyuma ni vigumu sana kukufunga.
 
Narudia bahati ni muhimu leo usiku
 
Sababu pekee hakuna anayeonekana kapanik ni kwakua wote imani ni kubwa kwamba wapinzani watadrop points nonstop.

Ila game tuliyocheza ni ya hovyo. Ninaamini Arsenal isipochukua ubingwa uwezekano wa Arteta kuondoka ni mkubwa, naelewa kabisa Arteta ana nafasi ya kupata timu kubwa kuliko Arsenal kupata kocha mzuri kwa wakati lakini hii siyo ndoa ya kikristo.

Slot anazunguka interview kwa interview akilalamika watu wanamchezea long balls na set pieces. Szoboszlai anasema Arsenal siyo mabingwa which is true, sasa kwanini tusicheze kama vile siyo mabingwa? The hunger and focus ya timu ndogo kama Forest, long range shooting ya timu ndogo kama Fulham.

Long balls za Brentford.

I mean the blueprint was there yet we went with same approach.

Bullshit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…