makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,905
- 104,172
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.
Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,
Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..
Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
Nakukumbusha tu umtafute uyo mtoto wa howeJ4 ntakutafuta mkuu.....walijichanganya sana wale vijana siku Ile kutufunga dk za jiooooni🤠🤠🤠....hivi tunavyocheza sasahivi ndo tunapitia kipindi kigumu kama kawaida yetu December ila tunapata matokeo....kuanzia January kazi inaanza upya....clean sheet na goli moja tu la ushindi....af ungekuwa unatumia muda mwingi kumshauri Howe acheze bolu safi sio vurugu Kila siku na matokeo ya tia maji tia maji
Kaka saka hapo mtoeSAKA na MARTINELLI msimu wa mwaka jana au juzi nilisema hawa ni AVERAGE players, hawawezi endelea na moto ule ule..
Ila kikubwa timu inashinda hamna tabu.
Naona odergard nae sasa hivi kapata akili za kushoot
Yule Lofa Huwa namshangaa sana aisee🤠🤠....Huwa anaonekana hmu akianza kuona gia haziingii vzuri anaanza kuja kutukandia....ila tukianza kupaka watu mafuta ya kipara anatokomea kusikojulikana...pambafu sana yule kijanaNakukumbusha tu umtafute uyo mtoto wa howe
Mm nakosana na Arteta sehemu moja tu....Huwa simuelewi yule Merino pale kwny kiungo anampendea nn hasa....jamaa Yuko very slow....yule kama Rice hayupo Bora Norgaard azime 6 halafu Zubimendi azime 8 na jana ilionekana kabisa alivyoingia Norgaard...lqkini Arteta yy anamkumbatia Merino mgumu kugeuka kupiga pasi kama trektaSaka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,
Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..
Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
Sawa haina tabu mkuu, ni maoni yako, haina haja ya kupigizana kelele, naheshimu unachokionaKwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.
Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu
Kwa Martinell tu ndo sikupingi
😂🤣🤣Mm nakosana na Arteta sehemu moja tu....Huwa simuelewi yule Merino pale kwny kiungo anampendea nn hasa....jamaa Yuko very slow....yule kama Rice hayupo Bora Norgaard azime 6 halafu Zubimendi azime 8 na jana ilionekana kabisa alivyoingia Norgaard...lqkini Arteta yy anamkumbatia Merino mgumu kugeuka kupiga pasi kama trekta
Sawa, kwa heshima yako, ila kwangu huwa naona sio mchezaji wa kutisha.Kaka saka hapo mtoe
Kama wataanza kumuwekea mipira njiani, krosi za kutosha vinginevyo ni ngumu kwa uchezaji wake..Me natabiri Kuna kipindi hakipo mbali, tutakuwa tunamuimba Gyokeres humu
Pale mmepgwa, hakuna wa kumuimba. Hii imani iweke kwnye biashara upate hela. Kwa hilo zwazwa punguza matumaini.Me natabiri Kuna kipindi hakipo mbali, tutakuwa tunamuimba Gyokeres humu
Unai hakuaga maamaeKipigo cha jana kinaitwa SITAKI MAZOEA
Niliacha kufuatilia mpira wote siyo timu tu.Nilijua tu utarudi. Yani Arsenal anavyokimbiza alafu usishabie, hicho kitu hakiwezekaniki
Yaan Saka ni world class, upo serious ww??Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.
Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu
Kwa Martinell tu ndo sikupingi
Amka.Tumemaliza nusu ya msimu tukiwa kileleni kwa hiyo vijana wa Arteta waendeleze Moto huu mpaka tubebe kombe.
The title is ours to loose
Bila shaka yoyote mkuu. Mwaka huu lazima tunyanyue makwapa yaliyojaa nywele.Mimi kila msimu nawaita wazee wa false hope sababu nakuwa na uhakika hawachukui lakini msimu ni tofauti arsenal kuchukua ubingwa sio suala kubwa Nampa asilimia 90%
Merino kucheza kiungo ni kudanganyana...awe super sub tu....yule Norgaard mtu sana ila ndo hvyo hatumtumii ipasavyo....😂🤣🤣
Hata mimi nilimkumbuka rice.. ila merino ubongo wake unafanya kazi vizuri, japo kimwili yupo slow, anakaa na mali ana jicho la pasi, nadhani hii inampa sifa mbele ya norgaard.. ana mchango kwenye kukaba, kuchezesha timu na kushambulia.