Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii game ilivyofika half time nikaona nilale. Bado hatuna uwezo wa kufunga.
 
Kichekesho ni kwamba kuna kipindi mashabiki wa timu yetu walikua hawaendi uwanjani na wanaoenda hawamalizi mechi kwakua ilikua ni uhakika kushinda na fewer actions uwanjani.

Meza imepinduka sasa kwakua inabidi ushikilie kende hadi dakika ya mwisho.
 
kuna wachezaji hawapaswi kucheza popote kwenye midfield kwa system ya arteta ya viungo watatu labda iwe mechi za kirafiki na hawa ni merino ,eze na kai.

merino na kai watumike kama washambuliaji wa kati.. wapambanie namba na kina gyökeres na jesus.

eze atumike nyuma ya mshambuliaji kwenye system ya 4-2-3-1.

arsenal waingie sokoni kusajili viungo wawili ama mmoja ,mbadala wa rice na ø wakufanyia rotation eneo la kati.

wachezaji watatu kwa kipindi hiki wanaopaswa kuwa wanaanza mbele ni trossard ,jesus na bukayo.. wengine watokee sub.

arteta akiendelea kuwa mkaidi kwa selections na tactics zake.. ubingwa msimu huu ataukosa tena.. timu itamaliza trophyless.
 
Arsenal kupata ubingwa ni 50/50
Kosa kubwa Lao ni kumuacha Partey kuondoka,
Rice hawezi kupanda na kukaa juu, hakuna mlinzi wa kulinda defense
Zubimendi bado kuweza kuhimili ugumu wa premier league
Kwa team iliyopo amekosekana Partey kukamilisha team
Either Arteta au uongozi haupendi wachezaji wenye ushawishi kwenye team
Hapo ni mawazo yangu
Sahihi, nami naona kuna pengo la partey, kuna vitu zubi inabidi ajifunze.
 
Hii game ilivyofika half time nikaona nilale. Bado hatuna uwezo wa kufunga.
Akili zimeanza kuwarudi kama kawaida yenu ,kuanzia December mpaka May huwa mnaanza kuona vitu kwa uhalisia zaidi kuliko ndoto za mwezi 8 mpaka 10.
Tulipokuwa tunawaambia hamuezi kushinda ubingwa kwa kutegemea set pieces na wala matches zenu hamtengenezi open chances mlikua mnakaza mishipa tunafurahi sana kuona misukule wa arteta mnaanza kuzinduka tunaomba timu zinazofuata ziongeze maombi kwa vichapo ili mpone kabisa.
 
Akili zimeanza kuwarudi kama kawaida yenu ,kuanzia December mpaka May huwa mnaanza kuona vitu kwa uhalisia zaidi kuliko ndoto za mwezi 8 mpaka 10.
Tulipokuwa tunawaambia hamuezi kushinda ubingwa kwa kutegemea set pieces na wala matches zenu hamtengenezi open chances mlikua mnakaza mishipa tunafurahi sana kuona misukule wa arteta mnaanza kuzinduka tunaomba timu zinazofuata ziongeze maombi kwa vichapo ili mpone kabisa.
Pamoja na open chances zote ilizotengeneza hiyo Newcastle yako bado IPO nafasi ya 11 kwenye jedwali na goal difference ya 1 😏
 
Toka amerudi jamaa timu nayo ni kama imekuwa inajitafuta sana. Sijui kama hili mmeliona?
Sahihi nae anaanza kuwa mzigo, kwanza huwa ana base kwa saka tu, hapendi kujaribu kushoot, kisha huwa anaforce kupiga vipasi fulani hivi ambavyo huwa anafeli mara nyingi kuliko kufanikiwa..
Aambiwe ukweli yeye sio ozil wala cesc fabregas, wala de bruyne.
 
Back
Top Bottom