Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie mna timu nzuri sana mkuu, lakini consistency au mfululizo wa kushinda mechi Hadi mechi mpk ligi iishe ndio kitu mnakosa.
Mko top lkn wasiwasi upo kulingana na mpinzani wenu city.
Hakuna bingwa nje ya city au arsenal japo percentage rate kubwa ipo Kwa man city
 
Nafikiri Kufukuzana na pep kwenye ubingwa ni nightmare Kwa arsenal,Pep anatisha linapokuja jambo la ubingwa wa ligi kuku na kaongea zaidi ya mara tatu baada ya January tutaoona.
 
city wana faida ya kuwa na serial winners wengi zaidi kwenye kikosi chao ,ligi bado ni ndefu na kwa hadi michezo 11 mpaka sasa ,bado ukiangalia timu nyingi zinavyocheza ni arsenal pekee ndio unaiona imekamilika zaidi ki muundo.
 
Liverpool upepo umekata ni kama hayupo tena kwenye race. Kwangu city sio kama ile ya miaka mitatu nyuma so wote wawili kuna muda tutadrop points. Hizi mid-table teams ndo kombe lipo hapa hasa atakayedeal nazo vizuri game za away. City kakwaa kisiki kwa Villa na sisi kwa Sunderland. Majibu tutapata May kila mmoja akishinda mechi zake.
Tukichanga karata vizuri naona tutafanya kitu cha tofauti sio tu kwenye ligi bali hata UEFA.
Nitarudi hapa May.
 
Mimi ni Castr.

Nilipotea, nikarudi kulog in nikakuta naambiwa user does not exist. Nikasearch post niliyowahi kupost nikakuta imeandikwa na user anaitwa 'Katotojr26'

Nikawafuata JF Instagram ila hawakujibu. Baada ya kuizindua upya gmail account nimeforgot password nimeomba pia kubadili hili jina kwakua sijawahi kuomba kubadili jina na hata kama ningeomba hili ni jina la kipuuzi sana mwanaume wa 30+ kujiita.

Nafurahi kuona mpo wazee.
 
Arsenal kwenye swala la bahati kwenye mbio za kushindania makombe tupo nyuma. Inabidi tutumie juhudi zetu zaidi.

Sikutaraji kuona fan base yetu inashangilia kurudi kwa Kai, na alivyoumia tena fan base ikalaani vibaya mno.
 
game dhidi ya tote ni zaidi ya fainali
Mwaka huu wenu mshindwe tu wenyewe. Jana liverkuku majogoo wamewekwa 3, Mancity pia kapakatwa....mna room nzuri ya kushinda ubingwa mwaka huu. Sisi Chelsea tunawasindikiza tu. Ili na nyie mpate hata kidogo mfurahie kuchukua makombe makubwa na si hayo ya kunywea uji.

Arsenal kila la kheri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…