Hata km ni ushabiki kuna muda tujaribu kuwa logical, sisi ku draw na Sunderland kwako unaona tayari bingwa Man city ! kwanini bingwa hukusema liverpool au timu yako au hata Chelsea aliye nafasi ya pili au sunderland aliye nafasi ya nne? ukamtaja city kwa kudhani utawatisha Gooners, aisee mbongo ni mtu hatari sana kwenye mambo negative,Bingwa man city, arsenal ndio basi tena... project yenu inazeeka bila kombe, na project ya man city inakaribia kuiva, man u inakuja, Chelsea anakuja, Liverpool yupo vizuri ni kocha tu....kocha emery yupo sokoni, arteta mzuri lkn Kwa makombe bado
Upo serious unategemea Arsenal kubeba kombe?!Hata km ni ushabiki kuna muda tujaribu kuwa logical, sisi ku draw na Sunderland kwako unaona tayari bingwa Man city ! kwanini bingwa hukusema liverpool au timu yako au hata Chelsea aliye nafasi ya pili au sunderland aliye nafasi ya nne? ukamtaja city kwa kudhani utawatisha Gooners, aisee mbongo ni mtu hatari sana kwenye mambo negative,
Nyie mna timu nzuri sana mkuu, lakini consistency au mfululizo wa kushinda mechi Hadi mechi mpk ligi iishe ndio kitu mnakosa.Hata km ni ushabiki kuna muda tujaribu kuwa logical, sisi ku draw na Sunderland kwako unaona tayari bingwa Man city ! kwanini bingwa hukusema liverpool au timu yako au hata Chelsea aliye nafasi ya pili au sunderland aliye nafasi ya nne? ukamtaja city kwa kudhani utawatisha Gooners, aisee mbongo ni mtu hatari sana kwenye mambo negative,
Ninyi mlifungwa kwenu na Sunderland bhana, uwezo wenu bado mdogo atleast mufc
Yaani naona Man City is the only Competitor for Arsenal this timeArsenal msimu huu kuna jambo kubwa wanaenda kulifanya.
Mpaka inafika muda mnagundua nyie uwezo wenu ndio mdogo.Ninyi mlifungwa kwenu na Sunderland bhana, uwezo wenu bado mdogo atleast mufc
Tuondolee hapa hizi ngojera zako za kipumbavu.Gabriel njee... Miezi minne, city anabeba kombeee.. Asenyani njee