Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,087
- 16,081
Safari hii hapo juu ndio tumekaa mazima hatushuki šš¤£š¤£š¤£ Wanangu baridi vipi huko?
Bado hamjaanza kutetemeka tuwape makoti?
Safari hii hapo juu ndio tumekaa mazima hatushuki šš¤£š¤£š¤£ Wanangu baridi vipi huko?
Bado hamjaanza kutetemeka tuwape makoti?
Relax he needs time, huyu ni proper striker akipata through balls za kutosha atafunga tu.View attachment 3490660
Huyu tunaanza kumdiscus lini? au tumuache ache kwanza aendelee kula mshara wa bure.
mkorea, makaveli10, Mad Max keka lime tiki bado za city au villa š„š„šKwenye hizi point 15, liver aache 6 tu.
Trh 4 Chelsea,
Trh 19 man u
Trh 25 Brentford
Trh 1 Aston villa
Trh 4 madrid(uefa )
Trh 9 man city
1, 4 na 9 anapigwa zote.
Hakikisha tukikutana Palmer anakuwepo mkuu....hatutaki malalamiko na visingizio siku hyo....uwe na kikosi kamili tucheze boluš¤ š¤View attachment 3490660
Huyu tunaanza kumdiscus lini? au tumuache ache kwanza aendelee kula mshara wa bure.
Mwezi huuhuu....mtaanza tena kumtukana Maresca kule kwny jukwaa lenu...ni suala la muda tuLondon ni Chelsea tuu,
Nyie wengine takataka tupuu
TUende hivi hivi mpk teka letu Kai mikazo lirudiš¤ š¤ ...Madunduka Madueke na Kai na Odegaard akirudi it will be very interesting....Kuna watu siku ya mechi watakuwa wanaachwa nyumbani maana hamna nafasi kwny substitution....tuna quality ya ajabu kabisa.....Tunashinda lakini tunahitaji kubadilika.
Ngoja tuone maana hata Liverpool alianza mdogo mdogo mwisho pumzi ikakata.