Umemaliza au bdo unaendelea kuandika pumba.Naona utetezi mwingi wa Victor G......! Yule ni striker, kazi yake ni kufunga na sio kingine !
Ooh mara mikimbio, sijui anapambana na mabeki wengine wanapata mwanya wa kufunga , mara possession etc.... bla bla kibao...pale mmepigwa, kwa umri wake ameeshahit kwenye peak yake..... msidhani atabadilika tena ! Mkimpeleka farmers league huko kama France, Portugal, Holland anakupigia 60G/A per season.... ! EpL havuki goli 10 ! Mmetapeliwa na Sporting.... kumbuka ile kauli yao "no refund "
𝗠𝗔𝗧𝗖𝗛𝘿𝘼𝙔 
Fulham
5.30pm (UK)
Premier League
Craven Cottage
Presented by Airwallex