Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
Mpaka sasa ni unbeaten alaf unasema ushindi wa papatu papatu 😂Hao nao wanadhani kila msimu bahati itakuwa upande wao tu. Kimsingi ushindi wao ni papatu papatu kama chelsea tu.
Mpaka sasa ni unbeaten alaf unasema ushindi wa papatu papatu 😂Hao nao wanadhani kila msimu bahati itakuwa upande wao tu. Kimsingi ushindi wao ni papatu papatu kama chelsea tu.
Mpaka sasa ni unbeaten alaf unasema ushindi wa papatu papatu 😂
Hata Palace ni unbeatenMpaka sasa ni unbeaten alaf unasema ushindi wa papatu papatu 😂
Huyo palace ana point ngapi na Liverpool ina point ngapi?Hata Palace ni unbeaten
Alidhibitiwa....hujaona ndugu yangu??🤠ðŸ¤Mmeshamdhibiti au tungojengoje kwanza?
Nimeona ndio mana hata kufunga amefunga kwa mbinde sana, vp striker wenu mbeba vyuma, alipga off and on target ngapi?Alidhibitiwa....hujaona ndugu yangu??🤠ðŸ¤
He's nervousNilishangaa nilipoana Mosquera anaanza, IQ yake ni chini sana
Magalhae Gabriel ni liability kwa Arsenal,Some of the players we considered assets, are liabilities
Ndo katupa ushindiMagalhae Gabriel ni liability kwa Arsenal,
Against Man City yeye alikuwa ndio sababu ya goli na leo ndio kaguswa kajiangusha, mchezaji mzuri lakini mzembe kwenye kazi
Haiondoi uhalisia wa alichokisema mdauNdo katupa ushindi