Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alidhibitiwa....hujaona ndugu yangu??🤠🤠
Nimeona ndio mana hata kufunga amefunga kwa mbinde sana, vp striker wenu mbeba vyuma, alipga off and on target ngapi?
1756124919747.jpg
 
Hii weekend mechi za wakubwa zote nightmare.... pambaneni walau mtoke na pwenti moja sio kukandwa
 
Magalhae Gabriel ni liability kwa Arsenal,
Against Man City yeye alikuwa ndio sababu ya goli na leo ndio kaguswa kajiangusha, mchezaji mzuri lakini mzembe kwenye kazi
Ni kweli vs City alikutwa out of position.. lakini bado yeye ni binadamu km wewe, ana mazuri mengi ukiondoa makosa machache.

Na pia ni moja ya mabeki wetu bora na yuko strong sana even more than Saliba km unafuatilia vizuri comments za baadhi ya wachezaji.. ni hivyo tu ana nyota mbaya na muda mwengine haongelewi au hapewi sifa anayostahili, sifa anaishia kupewa Saliba.
 
Back
Top Bottom